Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAUNGANA NA MATAIFA MENGINE KUADHIMISHA MIAKA 70 YA USAFIRI WA ANGA...

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaaban Mwinjaka akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Usafiri wa anga duniani yanayoendelea nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT.KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA...

Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo,(kushoto), akimkabidhi Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. Ripoti ya Upimaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA

WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHUO WAWILI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DODOMA WAPATA GPA YA 4.9

Bw. Peragius  Cosmas mwanafunzi aliyehitimu shahada ya Uhasibu na kupata  GPA 4.91 akipokea cheti cha pongezi kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha CBE Prof.Emanuel Mjema.Bi. May Issa  mwanafunzi aliyehitimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMATRA YATAHADHARISHA WANAOSAFIRI KIPINDI CHA MSIMU WA SIKU KUU ZA MWISHO WA...

Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Dk Oscar Kikoyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es salaam leo juu ya hali ya usafiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI

Mrusha mkuki, Mathias Shija kutoka Bandari za Maziwa akijaribu kete yake katika mchezo huo. Mrusha mkuki kutoka Bandari Dar es Salaam akijaribu kete yake katika mchezo huo.  Suleiman Mwalilo a.k.a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS WA BUNGE LA ULAYA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHADEMA NCHINI UBELGIJI

 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demoikrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Profesa Abdalla Safari na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu wakiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHADHARI KUTOKA MICHUZI MEDIA GROUP

MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA MICHUZI MEDIA GROUP (MMG) ANAPENDA KUTAHADHARISHA WADAU POPOTE WALIPO KUHUSIANA NA UJUMBE (PICHANI) AMBAO UPO KWENYE FACE BOOK NA HATA KWENYE TWITTER) KWAMBA UJUMBE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAYDEE: KAMWE SITARAJII KUFANYA SIASA MIMI NI MUZIKI TU

 Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' Lady Jaydee akisoma gazeti la Staa Spoti. Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Jambo Leo, Frank Balile (kulia), akimuelekeza jambo Lady Jaydee wakati akimuonesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANJU MSITA KUPEPERUSHA BENDERA MOZAMBIQUE FASHION WEEK 'MFW-2014'

Mbunifu wa Mavazi nchini Manju Msita kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya ushiriki wake katika Mozambique Fashion Week yatakayoanza desemba 10 mpaka 14 ambapo atakuwa akipeperusha bendera ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKANUSHA WAZIRI MUHONGO KWENDA NORWAY

View Article

SOMA JARIDA LA WIKI NISHATI NA MADINI TOLEO LA 45

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh mil 15 kwa chuo kikuu cha...

 Meneja Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (kushoto) akikabidhi jezi kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Seeks Out Sunderland FC to Promote Its Tourism. What is Kenya Doing?

As Kenya grapples with insecurity and the consequent ailing tourism, her neighbor Tanzania is confidently striding across the borders to replenish its parks with international visitors.A closer look at...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA YAO

Mwenyekiti wa Muda wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya wamiliki wa mitandao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DISEMBA 17-21, 2014 JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link, Abdulimalik Mollel, akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani)Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Kampuni ya Global Education Link (GEL) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RADIO 5 WAANDA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA...

Radio 5 FM 105.7 imeandaa "kampeni ya RADIO 5 viwanjani" katika mkoa wa Arusha ambapo itawakutanisha watangazaji  na madjs na wasikilizaji wao katika kumbi za starehe kwa takribani wiki tano ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKUBALI KUIBIWA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EMERSON WA YANGA YULEEEE JUKWAANI

Siku chache baada ya kuwasili nchini kwa Mchezaji kutoka Brazili,Emerson de Oliveira Neves Roque aliyekuja nchini kyufanya majaribio ya kusakata kabumbu na wakali wa mtaa wa Jangwani Yanga Afrika,...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>