Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

TAZAMA MAKALA MAALUM YA KISIWA CHA ZANZIBAR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI MPANDA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia kwenye Mkutano huo, uliofanyika kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUA YALIYOJIRI LEO 04/09/2015 KURASA ZA MBELE NA NYUMA MAGAZETI YA TANZANIA

Soma MAGAZETI mengine >>>>FK MATUKIO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA TANZANIA YAZIWEKA DATA ZA UMMA KUWA KITOVU CHA AJENDA YA MAENDELEO

DAR ES SALAAM, Septemba 4, 2015—Zaidi ya wawakilishi 400 kutoka kwenye serikali, vyuoni, sekta binafsi, asasi za kiraia na mashirika ya kimataifa ya maendeleo wanakutana katika jiji la Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA CCM AFANYA KAMPENI JIJINI TEMEKE DAR

Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia suluhu Hassam akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya jana, Septemba 3, 2015 katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA TAIFA YAONDOKA KUELEKEA CONGO BRAZAVILLE KWA KUTUMIA NDEGE YA TAIFA

Afisa Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi  jana jioni tayari kwa safari ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUPERSPORT KWENDA LAIVU ALL AFRICAN GAMES

Meneja Mkuu wa SuperSport kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Graeme Murray akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika (hawapo pichani) katika hoteli ya OutriggerHotel &...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DUNIA YAIDHINISHA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 80 KUJENGA AJIRA TANZANIA

Bodi ya Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Dunia leo wameidhinisha  mkopo wa maendeleo wa Dola za Marekani milioni 80 zinazolenga kuboresha utendaji katika sekta binafsi ya Tanzania, ili kukuza wajibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMIA AFANYA KAMPENI KIBAMBA

 Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre,  jimbo la Kibamba wilaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBS KUFANYA MSAKO MKALI NCHI NZIMA KUWABAINI WAUZAJI WA UMEME NURU 'SOLAR...

 Katibu  Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA), Mhandisi Mathew Matimbwi (katikati), akiwaonesha wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi Umeme Nuru (Solar Power panels) ambazo hazina ubora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AINGIA KIGOMA KUSINI AMNADI KAFULILA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi, Mgombea Ubunge wa Jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA: TAIFA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA, GAUDENTIA KABAKA, AZINDUA BODI YA WAFHAMINI MFUKO WA...

 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (kulia), akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, wakati wakichukua nafasi zao kwenye uzinduzi wa Bodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOLENI KIBAMBA

Foleni ya Magari mchana huu eneo la Kibamba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam hii leo mchana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ATIKISA TABORA

 Aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa wakazi wa Mji wa Tabora, waliofutirika kwa wingi kwenye Uwanja wa Town School, kulikofantika Mkutano wa Kampeni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITOKUA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA: MAGUFULI

  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa wakati wake utakuwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA...

Meneja Ufanisi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, BGML, unaomilikiwa na Kampuni ya Acacia, Elias Kasikila, (kushoto), akiagana na baadhi ya vijana wanaokwenda kuhudhuria mafunzo ya ufundi chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARY NAGU UZINDUA KAMPENI ZA CCM ARUSHA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GENIUS KING’S JIJINI DAR

Wahitimu wa darasa la saba kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMA DUNI HAJI ANGURUMA JIJINI TANGA

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akihutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Tangamano mjini Tanga. Wafuasi wa Ukawa wakifuatilia mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>