Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10609

MAMA ASHA BILALI AFUNGUA TAMASHA LA MWANAKE NA AKIBA JIJI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0
 Mke wa Makamu wa Rais, Asha Bilali leo amefungua rasmi Tamasha la kwanza la Mwanamke na Akiba jijini Dar es Salaam leo. Tamssha hilo linalofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala litaambatana na mafunzo ya aina mbalimbali za ujasiriamali na uwekaji akiba kwa manufaa ya baade.

 Wanawake kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam wakifuatilia hotuba za ufunguzi wa Tamasha la Mwanamke na Akiba.










 Mama Asha Bilali akipiga picha na wafanyakazi wa PSPF ambao nao wapo hapo kuhamasisha wakina mama hao kujiunga na Fao la hiari la Mfuko wa Pensheni wa PSPF ambapo kujiunga ni kuanzia sh 10,000/= tu.
PPF nao wapo katika maonesho hayo na hapa nao wakilamba picha na mgeni rasmi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10609

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>