Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) LAENDELEA MJINI KAMPALA UGANDA

$
0
0
Katibu mpya wa Baraza la Mwawaziri la Mambo ya Afrika Mashariki anaeshughulika na mambo ya Biashara na Utalii, kutoka Kenya, Mhe PhyllisC.Kandie akila kiapo jana mchana kama ofisa maalum katika Bbunge la Afrika Mashariki (EALA) katika Mkutano wa6wa Kikao cha1cha Baraza3ulianziamjini Kampala, Uganda jana.
Kiapo hicho chautiikwa Bunge hilo kilifanyikaulitekelezwa katikaBunge mbele ya SpikaEALA,  MargaretNantongoZziwa.
Katibu mpya wa Baraza la Mwawaziri la Mambo ya Afrika Mashariki anaeshughulika na mambo ya Biashara na Utalii, kutoka Kenya, Mhe PhyllisC.Kandie akila kiapo jana.
Kikao cha Bunge kikiendelea
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Shy-Rose Banji akichangia hoja katika Kikao hicho cha Bunge mjini Uganda jana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>