Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

MTEMVU AZINDUA OFISI ZA UWT-CCM KATA YA VITUKA, TEMEKE

$
0
0
  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Ofisi ya wanachama wa (UWT) wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dar es Salaam leo (kushoto ni) Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Kata ya Vituka Temeke Dar es Salaam na wanachama wengine  .
Mtemvu na viongozi wengine wa UWT, wakishangilia baada uzinduzi wa ofisi hizo kufanyika
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu na Diwani wa Viti Maalum wa Temeke, Mariam Mtemvu wakitia saini kwenye vitabu vya wageni katika ofisi hizo
Mtemvu akiwa na wafuasi wa CCM wakielekea kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Vituka
Mtemvu akisalimiana na wananchi
Mtemvu, Mariam Mtemvu na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Vituka, Suzana Mdete wakiwapungia mikono wananchi
Timu ya soka wakiwa katika mkkutano huo
Mtemvu akitoa zawadi kwa msanii Haassn Mapenje  aliyekuwa akitumbuiza kwa sarakasi katika mkutano huo
Msanii Hassan Mkenjula akifanya mambo yake katika mkutano huo
Mbunge akimpongeza msanii Hassan Mkenjula
Mtemvu akisalimiana na mmoja wa wananchama wa CCM
Mdete akifungua mkutano huo wa hadhara
Mwanachama wa Chadema Husna Dole  akishangilia kwa furaha baada ya kukabidhi kadi ya chama hicho na kutangaza kujiunga na CCM katika mkutano huo
Husna akikabidhi kadi kwa Mtemvu
Mtemvu akimkabidhi kadi ya CCM Husna
Mtemvu akisalimiana na wananchi baada ya mkutano kumalizika.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>