Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA DARAJA LA MALIGISU (100.5M) LINALOUNGANISHA WILAYA YA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete watatu kutoka kulia akiwa amekata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Daraja la Maligisu. Wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITI MTEMVU NDIYE REDD'S MISS TANZANIA 2014

Miss Tanzania 2014, Siti Abbas Zuberi Mtemvu akipunga mkono mara baada ya kuvikwa taji hilo usiku wa kuamkia leo katika shindano lililoshirikisha warembo 30 na kufanyika ukumbi wa Mlimani City Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAKAMU WAKE, DKT. BILAL WAWAONGOZA WANANCHI KUAGA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya...

View Article

YAMOTO BAND 'NISEME OFFICIAL VIDEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA VIP YAOMBA TAKUKURU KUTOA TAARIFA DHIDI YA MADAI YA MBUNGE KAFULILA

 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari pamoja na jopo la wanasheria kutoka Marekani (hawapo pichani kuhusu jambo hilo Dar es Salaam leo.  Mwanasheria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jaydee na Machozi Band Kupamba Uzinduzi wa Kiota Kipya cha Maraha Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

nani mtaani jembe yatinga arusha kwa kishindo

Mashabiki wa timu ya Yanga ambao ni wafanyakazi wa kiwanda cha kampuni ya Bia mkoani Arusha wakishangilia baada ya kuwashinda mashabiki wenzao wa Simba  jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Nani Mtani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA KANUMBA NA LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO "MAPENZI YA MUNGU"

Hivi karibu Msanii Mahiri na Nguli katika tasnia ya filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama LULU ataibuka na filamu yake Mpya na yenye kusisimua iitwayo "MAPENZI YA MUNGU" ambapo moja kati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU WA TANZANIA MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA POLAND

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Poland nchini, Mhe. Marek Ziolkowskoi kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Oktoba 13, 2014.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 15 YA MWALIMU JULIUS K NYERERE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LORI LA MAFUTA LAPINDUKA MBAGALA NA KUWAKA MOTO WATU WAFA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema wakimsikiliza miliki wa Nyumba ya kulala wageni United State na bar, Laurent Kasiga  iliyopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIINGILIO SIMBA vs YANGA VYATAJWA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000.Washabiki watakaolipa...

View Article

HOTUBA YA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS K NYERERE 1995

View Article


Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MSIBA AMIN ELIA MBAGA WA TTCL

Menejimenti ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao Bw. Amin Elias Mbaga aliyekuwa Meneja Uhusino kilichotokea tarehe 13.10.2014 katika Hospitali ya Regency...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJIJI 1,800 KUPATA MAWASILIANO YA SIMU, INTERNET MWAKANI (2015)

Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (Kushoto) akifafanua jambo katika mkutano wa wadau wa mawasiliano ya Tehama ujulikanao kwa jina la Capacity Africa. kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU YA URAIA NA UPIGAJI KURA HAIPASWI KUWA NA UTASHI WA KISIASA WALA UPENDELEO

Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa shirika la kimataifa la sayansi, elimu na utamaduni (UNESCO) Bwana Al Amin Yusuph akielezea madhumuni ya warsha ya wadau wa mradi wa uchaguzi 2015...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU AZINDUA OFISI ZA UWT-CCM KATA YA VITUKA, TEMEKE

  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Ofisi ya wanachama wa (UWT) wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dar es Salaam leo (kushoto ni) Mwenyekiti wa Umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAYPORT TANZANIA YAZINDUA HUDUMA MPYA YA MIKOPO YA BIDHAA

Meneja wa Masoko na mawasiliano wa taasisi ya kifedha ya Bayport Tanzania, Ngula Cheyo (katikati) akiongea na wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma ya Mikopo ya...

View Article

JWTZ YAKANUSHA TUHUMA ZA ASKARI WAKE WA JKT KUPORA MALI ZA WAVUVI

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>