Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

WANAHABARI WAMPOKEA MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI, ABSALOM KIBANDA

$
0
0
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
 Makumi ya wanahabari waliofurika kumpokea Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri.


 Waandishi wa habari na wanaharakati wakisubiri kumpokezi ya Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.
 Waandishi wa habari na wanaharakati wakimsubiri kumpokea Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.
 Baadhi ya wapiga picha wakiwa Uwanja wa Ndege wakati wa mapokezi ya Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom kibanda.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

Trending Articles