Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEITA WAPATA MSHINDI WA TAJI LA REDD'S 2013, NI SALSHIA ISIDORE

Mshindi wa taji la Redd’s Miss Geita 2013, Salshia Isidore (katikati) akiwa mwenye furaha wakati wa kupiga picha ya pamoja na warembo wqenzake Stella Magerezi (kulia) aliyeshika nafasi ya pili na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MIL. 41 MBARALI,MBEYA

Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo (kulia) akiwa na wafanyakazi wenzake  wakifurahia maji yanayotoka katika kisima walichosaidia kijijini isnura,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALADALA LAINGIA MTARONI MAGOMENI

Daladala moja inayofanya route zake za Gongo la Mboto na Masaki jijini Dar es Salaan, imetumbukia mtaroni asubuhi ya leo maeneo ya Magomeni Mikumibaada ya kutaka kuovertake gari ndogo aina ya Noah na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA EAC YAPUNGUA KWA DOLA MILIONI 10

Na James Gashumba, EANAMakadirio ya bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014 imepunguza matumizi yake kwa dola za Kimarekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA WINDA NA USHINDE AKABIDHIWA HUNDI YA TSH...

 Mshindi wa droo ya kwanza ya promosheni ya WINDA NA USHINDE kutoka Marangu, Moshi Honest Minja (kulia) akikabidhiwa hundi ya shilingi milioni moja na Meneja mauzo wa kanda ya kaskazini kutoka Kampuni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA RASIMU YA KATIBA MPYA YA JAMHURI YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiinua juu na kunyesha Kitabu cha Rasimu ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni ishara ya uzinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA 12 WA MWAKA WA VITUO VYA ELIMU KWA NJIA YA MTANDAO KUTOKA...

Katibu Mkuu ofisi ya Rais na utumishi wa umma Bw Georg Yambesi c akijadiliana jambo na Rais wa (AADCL) na Mkurugenzi (DLC) kutoka  Senegal Bwana Mor Seck kushoto kwa Yambesi ni Mkurugenzi mtedaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MANGWEA KUTUA DAR KESHO

Wadau wa Sauzi wakiwa katika harakati za kuusafirisha mwili wa msanii wa kizazi kipya aliyefariki majuzi marehemu  Albert  Mangwear jioni hii huko  Johannesburg, Afrika Kusini. Ratiba zinaonesha mwili...

View Article


TAZAMA VIDEO KADHAA ZA MAREHEMU NGWAIR ALIZOFANYA WAKATI WA UHAI WAKE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA HABARI WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AJERUHIWA NA MAJAMBAZI NYUMBANI...

 Nkomola akiwa wodini amelazwa hii leo. Nkomola akiwa na Mchumba wake Elizabeth wakati alipohudhuria send off yake huko Same.Wamuibia fedha na vitu mbalimbali vya maandalizi ya harusi yake wapora pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU YA WAKAZI WA DAR ES SALAAM WAUPOKEA MWILI WA MANGEHA AIRPORT LEO

Mwili wa Msanii Albert Mangweha 'Ngwair' a.k.a mimi au Cow Boy uwewasili jijini Dar es Salaam hii leo majira ya saa 8 mchana na kupokelewa na maelfu ya mashabiki, wasanii wenzake, ndugu jamaa na...

View Article

Kilele cha Tuzo za Kilimanjar​o Tanzania Music Awards 2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apanda mti wa Kumbukumbu Yokohama

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na viongozi wa jiji la Yokohama muda mfupi baada ya kupanda mti aina ya Jacaranda kutoka Tanzania katika bustani za jiji hilo leo mchana.Watatu kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 2013

Toleo la Rasimu ya Katiba limechapishwa kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa kifungu cha 18(5) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, kwa madhumuni ya kuwepo kwa wananchi kusoma na kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Twanga kupamba Redds Miss Sinza 2013

 Redds Miss Sinza ambaye pia ni Redds Miss Tanzania, Brigitte Alfred  alisisitiza jambo kwa warembo wa Redds Miss Sinza 2013  alipotembelea kambi ya mazoezi hiyo. Warembo hao watapanda jukwaani Ijumaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASILI SINGAPORE KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea jijini Singapore leo wakati alipokutana na wafanyabaishara za ujenzi wa nchi hiyo marav tu baada ya kutua kutoka Japan alikokuweko kwa ziara ingine ya kikazi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAHALO WA ELIMU YA URAIA WAFANYIKA JIJINI ARUSHA

Katibu wa asasi isiyo ya kiserikali ya Mategemeo Women Association,Viola Lindikikok akitoa mada katika mdahalo wa elimu ya uraia ulioandaliwa na asasi hiyo na kuwashirikisha zaidi ya vijana 100 kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIWANJA VINAUZWA JIJINI MWANZA

Viwanja vinauzwa, Malimbe,Sweya Jijini Mwanza umbali wa Nusu Kilomita kutoka SAUTUniversity. Vipo ziwani (ziwa Victoria) ni low Density, viwanja hivyo ni namba 95 na 96 kama vinavyoonyeshwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA BIASHARA EAC LAPATA MWENYEKITI MPYA

Mweyekiti mpya wa Baraza la Biashara la Afrika Mashariki (EABC) Vimal ShahMwenyekiti Msaidizi wa Baraza la Biashara Afrika Mashariki, Esther Mkwizu (Tanzania).Na Isaac Mwangi, EANA, ArushaBaraza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WAMPOKEA MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI, ABSALOM KIBANDA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.  Makumi...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>