Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10798

AJALI YA GARI NJIA YA KOROGWE-SAME

$
0
0
Ajali ya gari dogo lililokuwa likiendeshwa na Advocate Anthony Shuma kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea Moshi katika shamra shamra za siku kuu ya X Mass limepata ajali katika eneo la Njoro mkoani Kilimanjaro hii leo.

Watu wote waliokuwamo katika gari hilo wapo salama na hakuna aliyeumia ni uharibifu wa gari tu.
Wasamaria waliokuwa safarini kutoka Dar es Salaam na mikoa mingine kwenda Mosho na Arusha kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka walisimama na kutoa msaada.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10798