Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10591

UCHAFU SOKO LA BUGURUNI

$
0
0
Wakazi wa Dar es salaam wakimenya ndizi mbovu zilizotupwa katika rundo la taka katika soko la Buguruidi jijini Dar es Salaam kwa matumizi mbada ya kutengenezea pombe mbalimbali aina ya Mbege, Lubisi na nyinginezo zinazotengenezwa kiasili. Usafi katika soko hilo ni hatari kwa watumiaji na wafanya biashara katika eneo hilo.
Mrundikano wa taka ni chanzo cha magonjwa ya mlipuko kama kuharisha endapo wahusika wa usafishaji katika soko hilo hawata fanya jitihada za haraka za mara kwa mara kusafisha eneo hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10591

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>