Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10598

MLEKANI SPORTS NEWS NI UWANJA MWINGINE WA KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA MICHEZO ZA NDANI NA NJE YA NCHI

$
0
0


Kikosi cha Kano-Pillars ya Nigeria.
ABUJA, Nigeria
WACHEZAJI watano wa timu ya Kano Pillars wamejeruhiwa kwa risasi na watu wenye silaha katika shambulio lililofanywa na kundi la watu wakati wakisarifi kwenda Owerri kwa ajili ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu ya Nigeria.

"Wachezaji watano waliojeruhiwa kutokana risasi hizo ni pamoja na Gambo, Ogbonaya, Eneji Otekpa, Murtala Adamu, na Moses Ekpai," klabu hiyo iliandika katika mtandao wa Twitter.
 
BOFYA http://mlekani.blogspot.com/ KWA HABARI KEMKEM ZA MICHEZO NA WACHEZAJI

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10598

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>