Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM WATOA WITO KUCHANGISHA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza kuguswa na tukio la mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambayo imesababisha vifo vya watu 42 na wengine mamia kujeruhiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanesco na Helios Tower Tanzania wafanya warsha ya siku moja juu ya...

   Eranus Thompson, Mkuu wa uendeshaji wa Kanda ya Dar Es Salaam na Pwani kutoka Kampuni ya Helios Tower Tanzania akizungumza jinsi Helios Tower wanavyoweza kusambaza umeme unaozalishwa na Tanesco...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLEKANI SPORTS NEWS NI UWANJA MWINGINE WA KUPATA HABARI MBALIMBALI ZA MICHEZO...

Kikosi cha Kano-Pillars ya Nigeria.ABUJA, NigeriaWACHEZAJI watano wa timu ya Kano Pillars wamejeruhiwa kwa risasi na watu wenye silaha katika shambulio lililofanywa na kundi la watu wakati wakisarifi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAKIJIJI CHA OLOLOSOKWAN WAIPA AIRTEL HEKO/SHUKRANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto), akizungumza na viongozi wa Kata ya Ololosokwan, wilaya ya Ngorongoro (kutoka kulia), Diwani wa kata hiyo, Yannick Ndoinyo, Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA...

Muimbaji wa Nyimbo za Injili Rehema Chawe******MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA SHINYANGA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa pole wanafamilia wa MzeeZakaria  Limbe ambao wamepoteza wototo wane katika mafa ya mvua kubwa yenye upepo na  mawe iliyonyesha katika eneo la Mwakata Machi  3 usiku....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHOKI, FRESH JUMBE NA NUAMWELA KUPIGA BONGE LA SHOO JAPAN

Mwanamuziki nguli wa siku nyingi, Mtanzania anayefanya shughuli zake za kimuziki nchini Japan, Fresh Jumbe, anatarajia kufanya onyesho jukwaa moja na mwanamuzi kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ally...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EY Tanzania team donated US$ 3,500 and TZS 712,000 to fight brutality...

On 2nd March 2015 staff and Partners of EY Tanzania hosted Ms. Maria Stanford a representative from the society of people with albinism in Tanzania at EY offices in Oysterbay. The representative,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA...

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiongozana na mwenyeji wake ambaye ni Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga wakati alipowasili nyumbani kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Naibu Mkurugenzi wa Azam TV Bw. Dunstan Tido Mhando wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDI CHA MASKANI YA TIMES FM WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MSAADA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Times Radio Fm, Mr. Rehure Nyaulawa (kushoto) akimkabidhi msaada wa mashuka Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala Dk, Sophinias Ngonyani (kulia) mara baada ya Timu nzima ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE.

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya Akina Mama Duniani zilizofanyika.Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama ya Afrika kuanza kikao chake Jumatatu Arusha

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) inaanza kikao chake cha kawaida cha 36 cha mwaka, kuanzia Machi 9 hadi Marchi 27,mwaka huu,katika makao yake makuu mjini Arusha, Tanzania.Majaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA RADIO 5 WANOLEWA NA BBC MEDIA ACTION

Wafanyakazi wa kampuni ya Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha wakiwa katika picha ya pamoja jana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YATOA RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA HII TAMUUUUUUU!!! YAIBANJIA YANGA 1-0.

Na Father Kidevu BlogGoli pekee la Mganda Emmanuel Arnold Okwi aliloklipachika kimiani kunako dakika ya 56 ya mchezo kati ya mahasuimu wawili Simba na Yanga leo limeiwezeza timu yake ya Simba kuibuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA) WASHIRIKI KILELE CHA...

Wanawake wa TFDA walikuwa ni sehemu ya waliojitokeza katika kushiriki na kufanikisha  Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ngazi ya mkoa (Dar Es Salaam) ambapo Mgeni Rasmi alikuwa ni Mke wa Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA HARAKATI ZA "IMETOSHA!" HENRY MDIMU APELEKA UJUMBE WAKE UWANJA WA...

Na Henry MdimuTangu asubuhi leo nilikuwa busy na awareness za uwanja wa Taifa katika mechi ya watani wa Jadi Yanga na Simba (picha ya pili). Ila jioni hii nilipoangalia simu yangu nikakuta watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LANTANA HOTEL KIOTA KIPYA CHA MARAHA NA USINGIZI MWANANA JIJINI DAR ES SALAAM

 KARIBU / WELCOME To Lantana Hotel , “the best place to be”  a newly open hotel with world class standard located at Sinza Area in Kinondoni Municipality, 100m off Shekilango Road near SinzakwaRemmy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA, NAPE WAUNGURUMA JIMBO LA MTERA, MKOANI DODOMA

 Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>