Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10798

YANGA YABANWA MBAVU NA ETOILE DU SAHEL UWANJA WA NYUMBANI

$
0
0
Mchezaji wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Bounedjah Baghdad akiangalia namna ya kuwatoka wachezaji wa Yanga, Mbuyu Twite na Amissi Tambwe wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam. Kipindi cha pili kimeanza hivi punde na matokeo ni 1-1.
 Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa akiruka daluga la Beki wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam. Kipindi cha pili kimeanza hivi punde na matokeo ni 1-1.
 
 Wachezajiwa Timu ya Yanga, wakishangilia ushindi sambamba na mashabiki wao kufuatia goli la kwanza katika dakika ya kwanza lililofungwa na Canavaro kwa mkwaju wa penati.
Kiungo wa Timu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia, Franck Kom aruka juu kuwania mpira wa kichwa wakati wa mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho unaoendelea kupigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam. Kipindi cha pili kimeanza hivi punde na matokeo ni 1-1.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 10798


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>