Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

WANA CCM 3000 WAMDHAMINI LOWASSA GEITA

$
0
0
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwasili katika Ofisi ya CCM Wilaya Geita, kwa ajili ya kudhaminiwa na wanchama wa chama hicho kugombea Urais mkoani Geita jana ambapo wanchm zaidi ya 3000 wamejitokeza kumdhamini
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungumza na wanachama na wananchi nje ya  Ofisi ya CCM wilayani Geita  baada ya kukabidhiwa fomu za majina ya wanachama 3000 waliojitokeza kumdhamini kugombea Urais mkoani Geita jana.
 Katibu wa CCM Wilaya ya Geita,Kilian  Robert,  akimkabidhi  Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa fomu zenye majina ya wanachama 3000 waliomdhamini kugombea urais mkoani Geita jana.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>