Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10788

SIMBA YAIPA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO LEO

$
0
0
Simba imeendeleza wimbi la ubabe katika mzunguko wa pili wa ligi Kuu Soka Tanzania Bara baada ya kuifunga JKT Oljoro mabao 4-0 hadi sasa.

Magoli ya simba yamefungwa na mkali anaeongoza kwa ufungaji katika ligi hiyo Hamisi Tambwe aliyepachika mabao 3 huku goli lingine likipachikwa na Jonas Mkude. 

Tambwe hadi sasa amefikisha mabao 13 akifuatiwa na Kipre Cheche wa Azam FC mwenye mabao 10

MSIMAMO WA LIGI HADI SASA

Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts
1            Azam FC  Azam FC 15 9 6 0 25 10 15 33
2 Young Africans FCYoung Africans SC 15 9 5 1 33 12 21 32
3 Mbeya City  FC         15 8 7 0 21 11 10 31
4 Simba SCSimba SC 15 8 6 1 31 13 19 30
5 Kagera Sugar FCKagera Sugar FC 14 5 5 4 15 12 3 20
6 Mtibwa Sugar FCMtibwa Sugar FC 14 5 5 4 20 17 3 20
7 Coastal Union SC 15 3 9 3 10 7 3 18
8 Ruvu Shooting Stars 14 4 6 4 16 16 0 18
9 JKT Ruvu StarsJKT Ruvu Stars 14 6 0 8 13 18 -5 18
10 Rhino Rangers 15 2 5 8 9 19 -10 11
11 JKT Oljoro FC 15 2 5 8 9 24 -15 11
12 Ashanti United 14 2 4 8 13 25 -12 10
13 Tanzania Prisons 13 1 6 6 6 16 -10 9
14 JKT MgamboJKT Mgambo 14 1 3 10 5 26 -21 6

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10788

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>