Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA VIFARANGA BORA VYA KUKU WA AINA ZOTE KUTOKA MVOMERO COMMUNITY INVESTMENT...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU AVUA TAJI RASMI

Mrembo aliyetawazwa umalkia wa Tanzania 2014, 'Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtevu (pichani kushoto) leo ametangaza rasmi kujivua taji hilo. Pamoja nae ni Mkurugenzi wa Lino International Agency...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA SAMSON MAISHA NA IBRAHIMU TAMBA WATAMBIANA KUZIDUNDA JUMAPILI...

Bondia Maisha Samson kushoto wakitunishiana misuli na Ibrahimu Tamba wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika jumapili ya novemba 9 katika ukumbi wa Manyara park Tandale CCM.Bondia Maisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO BARABARA ILIYOKARABATIWA KWA MILIONI 90 UKONGA MAZIZINI- MOSHI BAR

 Hii ndio ile barabara ya Ukonga Mazizini- Moshi Bar ambayo inadaiwa kugharimu kiasi cha shilingi Milioni 90 kuikarabati kwa kiwango cha changarawe kwa umbali wa kilometa tatu. Picha hizi ni madimbwi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHY-ROSE BHANJI AZUNGUMZA NA WANAHAVBARI DAR LEO

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji akizungumza na waandishi wa habari hii leo. Kulia ni Mbunge mwenzake wa EALA kutoka Tanzania, Twaha Isa Tasilima. Shy-Rose Bhanji akionesha moja ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na  Dkt.Edward Shaeffer wa  hospitali ya Johns Hopkins (kushoto) na Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA WAANZA KWA USHINDI MWEMBA TAIFA LEO

BAO pekee lililofungwa na mshambuliaji wa kimataifa raia wa Uganda Emmanuel Okwi lilifanikiwa kuipa timu ya Simba ushindi wa kwanza tangu kuanza kwa msimu huu baada ya kutoa sare mfululizo katika mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ JD na DJ FAST EDDIE WAFANIKIWA KUREJESHA MUZIKI WA DISKO KILELENI TENA

 DJ JD akiwa kazini katika ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam usuiku wa kuamkia leo. Yeye na DJ Fast Eddie wameweza kurejesha utamu wa wapenzi wa muziki kwenda disco kwa wingi kama ilivyokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY YAJA NA MIKOPO YA MUDA MFUPI KWA NJIA...

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (wa nne kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia), Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA TAMBA NA KISARAWE WANYAKUWA MIKANDA YA TPBO

Bondia Mrisho Adam  kushoto akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo Bondia Mrisho Adam  kulia akipambana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA MSIBA WA NDUGU.ROBERT VICTOR LENGEJU

Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro wanasikitika kutanga kifo cha mdogo wao ROBERT VICTOR LENGEJU kilichotokea mchana wa leo katika Hospitali ya TMJ Dar es Salaam.Mipango ya mazishi inafanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA MBEYA VIJINI LUCKSON MWANJALE (REV) AANGUKA GHAFLA BUNGENI

Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake huko bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA yakutana na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania leo

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),Prof. John Nkoma akitoa hotuba yake wakati wa ufungumzi wa Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMA KUTUMIA MILIONI 396/- KUWEKA SAWA MAZINGIRA MASHULENI IRAMBA

Meneja wa shirika la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya kunawa mikono duniani, siku ya choo duniani na wiki ya usafi wa mazingira nchini uliofanyika katika kijiji cha Tulya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KUAGA MWILI LEO NA MAZISHI YA ROBERT VICTOR LENGEJU

Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro na Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu jamaa na marafiki wote wa marehemu ROBERT VICTOR LENGEJU na Familia ya LENGEJU kuwa kijana wao mpenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAREHEMU ROBERT LENGEJU WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM KUZIKWA KESHO...

Hili ndilo sanuku lililouhifadhi mwili wa Mwandishi/Mchambuzi wa Jukwaa Maalumu la MWALE WA DEMOKRASIA katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), kila Alhamisi. Mwili wa shujaa huyo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA , CCM WANAKUBALIKA - UTAFITI TANZANIA KUELEKEA 2015

Mwananchi mmoja kati ya watatu (33%) Tanzania Bara hajui ni nani atayekuwa chaguo lake la Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hakuna mgombea hata mmoja anayependwa na wapiga kura kwa zaidi ya 15%. Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Chadema aunguruma mikoa ya KIGOMA na KATAVI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma, katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANGI LUGOLA NA WANASHERIA

 Mawakili wa kujitegemea, Nyaronyo Kicheere (kushoto) na Iman Madega (katikati) wakizungumza jambo na Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola walipokutana mtaa wa Samora Jijini Dar es Salaam jana.Kulia ni...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live