Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. REGINALD MENGI AZINDUA TASWE SACCOSS JIJINI DAR

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss) uliofanyika katika ukumbi wa St. Peter's jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA SIKU TATU ZA MATUMAINI

View Article


WIZARA YA NISHATI YATOA UFAFANUZI KUHUSU KUUZWA KWA HISA ZA KAMPUNI YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF NA TPB ZAZINDUA HUDUMA YA MIKOPO YA ELIMU NA KUANZIA MAISHA KWA...

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi (kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu (wapili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu wa Mkoa wamtembelea na kumjulia hali Rais Kikwete

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa waliowawakilisha wenzao kwenda ikulu leo kumjulia hali na kumpa pole kufuatia upasuaji alifanyiwa mwezi uliopita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA

Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WLAC NA UNICEF WAZINDUA RIPOTI YA MWAKA MMOJA YA WATOTO WALIOPO MAGEREZANI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Maimuna Tarishi (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC), Grace Daffa, wakionesha vitabu vyenye ripoti ya mwaka mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC - MULONGO AKERWA NA HALI YA USAFI ISIYO RIDHISHA JIJINI MWANZA

 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akiwa katika Eneo la Soko kuu. Eneo la hili ni la NHC ambapo RC ametoa agizo la kuendelezwa hadi ifikapo Desemba 30. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI NDANI YA KAMPALA INTERNATIONAL FESTIVAL DESEMBA 29-30.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA TANZANIA WAICHAPA EALA MABAO 4-0

Timu ya Tanzania jana wailiichapa timu ya EALA mabao 4 kwa 0 ambapo Mh. Joshua Nassari alifunga bao la kwanza na bao la pili kufungwa na na mchezaji mahiri Yusuph Gogo na la tatu kufungwa na Ahmed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUSSELL SIMMONS AMSHIKA MKONO TENA FLAVIANA KUITAMBULISHA FLAVIANA MATATA...

            Flaviana Matata Mwanamitindo wa kitanzania afanyae shughuli zake za Mitindo Nchini Marekani, Jana alijiunga na rafiki, mshauri, mwekezaji na hip- hop legend , Russell Simmons, Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK PINDI CHANA (MB) KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, MKOANI...

 Dkt. Pindi Chana akiwanadi wagombea wa Uongozi kwa Tiketi ya CCM wa Mtaa wa Kihesya na Kwivaha, Njombe Mjini.Mheshimiwa Dkt Pindi Chana(Mb.), Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO...

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ikiwa ndani ya MV Liemba mara walipofika kujionea mandhari ya meli hiyo kongwe duniani.Nahodha wa MV Liemba, Kapteni Mathew...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FESTIVE SEASON ACTIVITIES @ GOLDEN TULIP DAR ES SALAAM - HOTEL

View Article

CCM INA MTAJI WA KUTOSHA KUSHINDA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA ELFU 10 WAMIMINIKA DIAMOND JUBILEE KUFANYA USAILI WA AJIRA ZA TRA LEO

Vijana takriban elfu kumi kutoka kila pembe ya nchi leo wamemiminika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam kusailiwa katika nafasi mbalimbali za ajira katika Mamlaka ya mapato Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEO FILIKUNJOMBE AZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA DODOMA

Mbunge wa  jimbo la  Ludewa Deo Filikunjombe akinywa maji kwa majani ya miti baada ya kuzindua mradi wa maji na kukabidhi vifaa vya kuvuta maji  vyenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 14.5 kwa wakazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPUNDA AWALIPUA CHADEMA

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (M-NEC) Ndugu Sixtus Mapunda amesema kuwa Chadema wamepanga njama haramu za kuvuruga uchaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA GARI YAJERUHI MMOJA QUALITY CENTER

Mkazi huyu wa Dar es salaam ambaye jina lake halikupatikana akivija dani usono baada ya kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea hii leo mchana katika maegesho ya magari ya Quality Center. Gari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF WASAIDIA UJENZI WA MAABARA KATIKA SHULE YA MIHANDE WILAYANI KIBAHA

Kaimu Meneja wa LAPF Kanda ya Mashariki, Isaya Mwakifulefule (kushoto), akimkabidhi, Ofisa Elimu wa Vifaa na Takwimu wa Wilaya ya Kibaha, Doris Semkiwa (kulia), bati na rangi zenye thamani ya...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>