Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI MATHIUS WA KATA YA MALANGARINI AFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATANI KWAKE

Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili ya kuwachagua viongozi wa  serikali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALAT YAZINDUA MCHAKATO WA MAADHIMISHO YA MIAKA 30

Mwenyeki wa ALAT Taifa na Meya Wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE...

Kama mnavyofahamu kesho tarehe 14/12/2014 ni siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ni uchaguzi muhimu sana kwani ndiyo uchaguzi unaowaweka madarakani viongozi ambao wapo karibu zaidi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAIUA TENA YANGA 2-0 TAIFA HII LEO

 Awadh Juma na Jonas Mkude wakishangilia moja ya magoli ya Simba. (Picha ya maktaba). HALI ya mji kwa upande wa soka la Tanzania leo itakuwa shwari baada ya Yanga kukubali kichapo cha goli 2-0 kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI ZA NPS NA TYCEN ZAWAKUTANISHA VIJANA KWENYE MKUTANO WA MABADILIKO YA...

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA RESOLUTE WAKABIDHIWA KWA CHUO CHA MADINI DODOMA

 Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Mhe Stephen Masele (aliyesimama katikati na pama) akishuhudia halfa fupi ya kusaini makabidhiano ya eneo la Mgodi wa Resolute kwa Chuo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA KIFO CHA MAMA MZAZI WA AKINA MWAIBALE

Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wakeFamilia ya  Mwaibale inatangaza kifo cha mama yao mpendwa, Twitikege Mlagha Mafumu kilichotekea leo saa 5 usiku wakati akipelekwa  Hospitali ya Hindu Mandal...

View Article

Maonyesho ya Elimu ni Disemba 17-21, 2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM

Wahitimu wa Shahada ya Uhasibu kutoka Chuo cha Uhasibu (TIA), Hiltruda Tarimio (kushoto) na Halima Ally wakiwa katika mahafali ya chuo hicho Dar es Salaam juzi.  Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gwiji wa masuala ya mtangamano EAC afariki

Balozi Ndayiziga katika mojawapo ya warsha ya EAC hivi karibuni. Kulia ni mtaalamu wa habari na mratibu wa mafunzo ya wandishi wa habari EAC, Bw. Sukhdev Chhatbar.Mkufunzi katika Mafunzo hayo, Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio Msiba wa Mama Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake. Mama mzazi wa wanahabari Kulwa Mwaibale wa GPL, Dotto Mwaibale wa Jamboleo na Nico Mwaibale wa TBC. Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SECURITYGROUP (T) LTD (SGA) WAFANYA USAFI KUADHIMISHA MIAKA 30 YA UTENDAJI...

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya ulinzi ya Security Group (T) Ltd (SGA), Eric Sambu akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo muda mfupi kabla ya kuanza kuufanyia usafi ufukwe wa Bahari ya Hindi, eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR ES SALAAM HII LEO

 Maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam hii leo wamefanya uchaguzi wa Serikali za Mtaa ambapo wananchi wengi waliojitokeza wamejitokeza kutumia haki yao ya msingi ya kidemokrasia ya kupiga kura. Picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MREMBO ROLENE STRAUSS WA AFRIKA KUSINI TWAA TAJI LA MISS WORLD 2014

Malkia wa 64 wa Dunia amepatika usiku huu huko jijini London Uingereza ambapo Mnyange wa Afrika Kusini, Rolene Strauss amenyakua taji hilo na kuibuka Miss World 2014.Nafasi ya pili na yatatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEPOTELEWA NA MBUZI WAKE

Mfugaji yeyote aliyepotelewa na mbuzi wake Beberu wa Maziwa, Awasiliane na Ndugu Manyerere Jacton kwa simu 0713335469. Mwenye mbuzi anatakiwa awe na uthibitisho wa umiliki wake. Mbuzi huyo kwa sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YATOA MKONO WA X MASS KWA VITUO VYA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM

 Kulia ni Afisa Mfawidhi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Mkoa wa Shinyanga Erick Chinimbaga na wa kwanza kushoto ni Afisa Fedha kutoka PSPF Makao Makuu Samweli Haule wakiwakabidhi zawadi za Krismasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAFURIKA KATIKA BANDA LA DEGE ECO VILLAGE, MLIMANI CITY- DAR

Muuzaji kutoka Hifadhi Builders Ltd akiongea na mteja kuhusu mradi wa Dege Eco Village jijini Dar es salaam hivi karibuni Adam Jusab, Afisa Masoko akihojiwa na waandishi wa habari hivi karibuni na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIMANI CITY....NA MAISHA YANAENDELEA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII MAARUFU WA KIZAZI KIPYA NEY WA MITEGO AKIWA STEJINI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya  Ney wa Mitego anatarajiwa kulipamba Tamasha la amani linalotarajiwa kufanyika mapema jumamosi hii desemba 20 katika viwanja vya Sheik Amri Abeid lililoko mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WAJITOKEZA KWA WINGI TAYARI KUSHIRIKI MAONESHO YA KWANZA YA KIMATAIFA...

Wadau wa Elimu ndani na nje ya nchi wamejiandikisha kwa wingi tayari kwa kushiriki maonesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu nchini ambayo yanaratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Wizara ya Elimu,...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>