Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

NEW VIDEO: NAY WA MITEGO – AKADUMBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCAA WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA HNEW HOPE...

Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Hope Family wakiwa wamebeba mzigo ya vyakula mbalimbali baada ya kukabidhiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga( Tcaa) kwa ajili ya kusherehekea mwaka mpya. Afisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) azindua vitabu vyake vitatu vya simulizi za kale

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI

Na Father Kidevu Blog Mshitakiwa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya Abdul Koroma (33) amekufa papo hapo baada ya kupigwa risasi alipokuwa akijaribu kutoroka chini ya ulinzi katika Mahakama ya Hakimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA PPF IDARA YA UENDESHAJI WAFANYA SHEREHE YA KUFUNGA MWAKA...

Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Assumpta Maina Mallya akifungua sherehe iliyoandaliwa na idara yake kwaajili ya kupongezana kwa kazi za mwaka mzima, sherehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMA YATOA TAARIFA JUU YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI, FEBRUARI,...

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk.Agnes Kijazi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu mwelekeo wa mvua kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO DASLAM

Kariakoo ni moja ya sehemu zilizo na maduka mengi na eneo lenye pilika pilika za kila namna za kibiashara, hapana shaka kuwa eneo hilo linawalipa kodi wengi kuliko eneo lolote la jiji la Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015

Sheikh Shariff Matongo  akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake  jijini Dar es Salaam(hawapo pichani)kuhusu  ndoto yake ambayo ameoteshwa kuelekea mwaka 2015.*****NA CHALILA KIBUDA,GLOBU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIWANGO VYA KUBADILISHA FEDHA -DOLA YAZIDI KUPAA

Mkazi wa Dar es Salaam akiangalia viwango vya kubadilisha fedha katika moja ya maduka ya jijini Dar es Salaam jana ambavyo vilionesha dola kupanda hadi kufikia shilingi 1,720 kulingana na 1,570 ya...

View Article


JARIDA LA WIKI NISHATI NA MADINI TOLEO LA 48

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TATHMINI YA PAPA KAIJAGE KUHUSU MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI KWA MWAKA...

BENDI MPYA •Vijana Ngwasuma ilizinduliwa ndani ya Letasi Lounge (zamani Business Park ,Victoria) Ijumaa ya tarehe 07-Mar-2014.•Yamoto Band yazinduliwa rasmi tarehe 21-Sep-2014 ndani ya ukumbi wa Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND NA ZARI WAZURU MAKUMBUSHO YA MAUAJI YA KIMBARI NCHINI RWANDA

MSANII nguli wa Bongo Fleva, Nassib Abdul 'Diamond' na rafiki yake wa kike mganda Zari Hassan wamezuri makumbusho ya taifa ya mauaji ya kimbarti nchini Rwanda.Diamond yupo mjini Kigali Rwanda kwaajili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABOOD ATOA WIKI MBILI MTENDAJI WA KATA KURUDISHA FEDHA ZA WANANCHI

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akiongea Kwa Msisistizo Akimtaka Mtendaji wa Kata ya Luhungo Iliyopo Mzee Makame Kai Kurudisha Fedha za Wananchi wa Kata Hiyo Shilingi Milioni 1.4...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA TEMEKE NA VITONGOJI VYAKE WALIPOKEA VYEMA TAMASHA LA TUO8JANUARY,...

  Hii ilikuwa ni picha ya pamoja ya wasanii na mashabiki waliojitokeza kuunga mkono tamasha hilo la bure ambalo lina lengo la kuhamasisha vijana kushiriki katika maamuzi yenye mustakabali wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILALI AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA MKESHA WA MPWA PYA NA KULIOMBEA TAIFA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi alipowasili Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana usiku Disemba 31, 2014/2015 kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2015 KUTOKA KWA RAIS JAKAYA KIKWETE

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI DAR WAFURAHIA MWAKA MPYA 2015 KWA KUOGELEA BAHARINI

Mamia ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam walimiminika jana katika ufukwe wa Bahari ya Hindi eneo la Coco Beach kufurahia mwaka mpya wa 2015 kwa kuogelea.Huku pakiwa na ulizni mkali wa Polisi, wakazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYAMA 10 VILISIVYO NA UWAKILISHI BUNGENI VYAWATAKA VIONGOZI WA DINI...

 Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwa niaba ya vyama 10 visivyo na uwakilishi wa wabunge Bungeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini...

Mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie akizungumza na wanaDMV kwenye mkesha wa mwaka mpyaKatika mkesha wa mwaka mpya (2014-2015), Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUNGA MWAKA YA JUMUIYA DMV YAFANA

 Aliyekuwa mwakilishi wa Diaspora bunge la katiba Mhe. Kadari Singo akielezea shughuli za bunge hilo na jinsi gani alivyopigana kutetea swala la uraia pacha huku akiwasihi wanaDiaspora kubadili mtizamo...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>