Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA

Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Daraja la Pili,Malale Patrick Mwita akiwa ameshika Tuzo na Cheti alivyokabidhiwa na Mwana wa Mfalme Albert wa Pili wa Monaco nchini Afrika Kusini wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KUANZA KUTOLEWA KESHO

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Mstaafu,Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi habari juu juu ya maendeleo mbalimbali katika kuelekea uchaguzi mkuu uliofanyika leo Makao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA HERIETH PALLANGYO ULIVYOFANA

 Biharusi mtarajiwa Herieth Charles Pallangyo akiwa kwenye pozi muda mfupi kabla ya kuanza tafrija yake maalum ya kugana na familia yake kbla ya kufunga ndoa. Tafrija ya kumpongeza na kumuaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAMIM MWASHA WA 8020 FASHIONS ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII...

Mkurugenzi Mtendaji   8020 Fashion na  Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha Akitoa Mada kwenye Semina ya Kuwawezesha  Wanawake Kuwa Wajasiriamali kupitia Vipodoz Vya Luv Touch Manjano...

View Article

TAKUKURU YAKANUSHA TUHUMA YA RUSHWA DHIDI YA NAPE

View Article


ANGALIA KIPINDI CHA NYUMBANI NA DIASPORA CHA WIKI HII

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA...

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akizungumza na wakazi wa Patandi, Sangis na Tengeru kuhusu ujenzi wa barabara ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAINGIA KAMBINI

Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Tanzania Jane Foster akiwashukuru wadau mbalimbali ambao wamefanikisha mchakato mzima wa kuendesha shindano la Mama Shujaa wa Chakula, Pia Kipekee Amewashukuru wafanyakazi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBIO ZA URAIS 2015, DOVUTWA WA UPDP,LYIMO WA TLP NA MTIKILA WA DP WACHUKUA...

 MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, (kulia), akipokea mkoba wenye fomu za uteuzi wa kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EDWARD LOWASSA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS CHADEMA

Mtia nia ya urais kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akikabidhi fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kimteue kugombea nafasi hiyo kwa Makamu Mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 10 YA KUMBUKUMBU YA MAMA RHODA CLEOPA MSUYA

Mpendwa Mama Rhoda Cleopa Msuya Daima tutakupenda kamwe hatutokusahau. Ni Miaka kumi tangu ulipotangulia tumebaki na kumbukumbu za mapenzi yako ya dhati na wema wako Tumekukumbuka leo, jana, juzi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC MABINGWA WAPYA KOMBE LA KAGAME

Mabingwa wa wapya wa Kombe la Kagame timu ya Azam FC wakishangilia na kombe lao mara baada ya kukabidhiwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.Azam FC wameibuka mabingwa wa kombe hilo baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh Anne Makinda ashiriki Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo...

Maadhimisho ya siku ya mwanamke wa Afrika yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 31 July toka tamko rasmi la Umoja wa Afrika mnamo mwaka 1962 lililotolewa jijini Dar es Salaam -Tanzania. WiLDAF Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMITA WAZINDUA MAAZIMIO YA WANANCHI KWA VYAMA VYA SIASA KUHUSU UHIFADHI...

Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (Mjumita), Rahima Njaidi akizungumza wakati wa uzinduzi wa maazimio hayo ya wananchi kwa vyama vyama vya siasa nchini ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA

Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Manyara ambao ni wanachama wa Taso...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAHARA ANENA BAADA YA KUSHINDWA KUPATA KURA ZA KUTOSHA TABORA

Baada ya kura kutotosha kumfanya apite katika kura za maoni kugombea Ubunge kwa viti vya Vijana mkoani Tabora, Zahara Muhidin Issa Michuzi (pichani) amepokea matokeo kwa moyo mkunjufu na kumpongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI TANZANIA

Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini Tanzania(ERB) Muhandisi Steven Mlope akiongea na waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 hasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA WATOANA JASHO AIRTEL RISING STARS

 Mchezaji timu ya soka ya wasichana ya Ilala Fatuma Salumu (Kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Simba Queens Mwanaidi Hamisi katika michuano ya Airtel Rising Stars kwenye kiwanja cha kumbukumbu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU LEO

Dkt. John Pombe Magufuli na Bi. Samia Suluhu Hassan wakionesha mkoba uliona fomu za kugombea Urais  Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-PID,PPF, TCAA NA HAZINA KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA LINDI

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Lindi na Kilwa Mwal. Mariam R. Mtima (wa kwanza kushoto) akimsikiza Afisa Masoko na Uhusiano wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundo...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>