Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10780 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA, JUMA DUNI KUIPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA UCHAGUZI MKUU

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe (wa nne kulia) akiwa ameshikana mikono na Mgombea wa Urais alieteuliwa na chama hicho, Mh. Edward Lowassa (wa tatu kulia)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WATAKIWA KUFUATA USHAURI WA WATAALAMU NA KUFANYIA KAZI MAFUNZO...

 Afisa kilimo daraja la kwanza  wa halmashauri ya mbulu  Peter Sangawe   akiwa anaomuonyesha  Mkuu wa mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera  jinsi ya kuifadhi  nafaka bila kutumia kemikali  Mkuu wa mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ASAINI MISWADA 5 YA SHERIA IKULU DAR ES SALAAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIPUMBA AJIUZULU UENYEKITI CUF

Aliyekuwa  Mwenyekiti wa chama cha CUF Taifa, Profesa Ibrahimu Haruna Lipumba akizungumza na Wandishi wa habari katika moja ya ukumbi wa mikutano ndani ya Peacok hotel jijini Dar leo kuhusiana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MORO KIDS MABINGWA AIRTEL RISING STARS

Naodha wa timu ya Moro Kids Dissy Job akinyanyua kombe la ubingwa la Airtel Rising Stars baada ya kutawazwa mabingwa wa mkoa wa Morogoro. Timu ya Moro Kids waki pozi na kombe la ubingwa baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU PETER KISUMO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa Mwanasiasa  Mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo,  aliyefariki dunia Jumatatu katika Hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA AITA 29 TAIFA STARS

Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni msaidizi wake, Hemed  Morocco....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIRISHA LA USAJILI SASA KUFUNGWA AGOSTI 20

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limesogezwa mbele kufungwa kwa dirisha la usajili wa wachezaji kwa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL) mpaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATATU WASHIKILIWA NA POLISI KWA MAUAJI YA ASP ELIBARIKI PALANGYO

Jeshi la Polisi Kanda Maaluma ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya ofisa wake Marehemu ASP Elibariki Palangyo huko Yombo Kilakala  Dar es Salaam. Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA MUZIKI NA FILAMU WAMUAGA KIKWETE JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya...

View Article

TAFRIJA YA KUMUAGA RAIS KIKWETE; DIAMOND AWAASA VIJANA KUJITUMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA YAHIMIZA WANANCHI KUTUMIA KWA USAHIHI HUDUMA ZA MAWASILIANO

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) Kanda ya Kaskazini,Annette Mahimbo Matindi.Wananchi wanaofika kwenye maonesho ya wakulima na wafugaji(Taso)Nane nane Njiro jijini Arusha wametakiwa kufika kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AZINDUA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO (TADB)

 Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akihutubia wakati akizindua Benki ya Maendeleo ya Kilimo Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Waziri wa Fedha,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA...

 Mgombea urais wa Tanzania  kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha kwa wananchi mgombea mwenza Said Miraj (kulia) na mgombea urais wa chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANETH MBENE ATEMBELEA KIWANDA MARMO & GARNITO MINES MBEYA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,Janet Mbene,akiangalia  baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa na kampuni ya Marmo and Garnito Mines kwa ajili ya matumizi mbalimbaliNaibu Waziri wa Viwanda na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA 120 HOSPITALI YA MANISPAA YA TEMEKE

 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wa mkoa wa Temeke (NHIF),Constantine Makala akieleza jambo wakati wa kukabidhi mashuka 120 katika hospitali ya Temeke leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-PID YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE NGONGO LINDI

Afisa Masoko UTT-PID, Bi Kilave Atenaka akihudumia mteja katika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. Muonekano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA DAY 2015 RAHA TUPU

 RAIS wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva, (pichani juu), jana alikuwa kama kocha wa Chelsea, Josse Morinho, kutokana na jinsi alivyokuwa akiwaelekeza wachezaji wa timu ya viongozi wa Simba dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA...

Dkt John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa Adinselema uliokuwa ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra shamra na shangwe za hapa na pale.Pichani kulia ni Mke wa...

View Article
Browsing all 10780 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>