Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLOBAL EDUCATION LINK YASAFIRISHA WANAFUNZI KWENDA KUSOMA NCHINI INDIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwasindikiza wanafunzi 30...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMAYE AMFUATA LOWASSA UKAWA NI WAZIRI MKUU MSTAAFU

Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye anazungumza live hivi sasa akiwa katika mkutano wa UKAWA na matangazo hayo yanarushwa ITV. FK Blog itawapa taarifa kamili hivi punde.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR

Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha mkoba wenye Fomu za kuwania nafasi hiyo, leo Agosti 24, 2015, kwenye Ukumbi wa Salama, Bwawani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA USA: MAJAJI WAMPOKONYA USHINDI DOREEN PANGA NA KUMVIKA TAJI...

Aeesha Kamara sasa ndiye mshindi wa Miss Tanzania USA pageant  Miss Africa 2014-15 akipata picha ya pamoja na Doreen Panga baada ya kuvikwa taji la Miss Tanzania USA Miss Africa 2014-15 akipata picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMT 2015 #mpakakieleweke kimeeleweka kwa Denis Laswai

Mshindi wa TMT 2015 #mpakakieleweke, Denis Laswai akiwa ameinua mikono juu kuashiria ishara ya kumshukuru Mungu Mara baada ya Kutangazwa Mshindi wa TMT 2015 #mpakakieleweke msimu wa pili katika fainali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAFURIKA JANGWANI KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM

 Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli akihutubia halaiki iliyohudhuria uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Jwangwani jijini Dar es Salaam leo Agosti 23,2015....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF WADHAMINI MASHINDANO YA SOKA KWA BODABODA KIPINGUNI B

   Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Delphin Richard akizungumza na madereva bodaboda wa Kipunguni 'B' kuhusu huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN KUBORESHA VYOO VYA SHULE 10 KILIMANJARO

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akishuhudia Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAKALA WA AIRTEL MONEY MKOA WA DAR ES SALAAM WAPATA MAFUNZO

 Meneja Mafunzo ya Biashara wa Airtel Tanzania, Ayubu Kalufya akitoa elimu kuhusu huduma mpya ya ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, wakati wa mafunzo kwa mawakala wa Airtel Money wa mkoa wa Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AZUNGUKA NA DALADALA HADI GONGO LA MBOTO KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASIOONA WATISHIA KUTOKUPIGA KURA

 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SAMIA AANZA KAMPENI KILIMNJARO

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na wananchi baada ya kuwasili Ofsi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro leo.Mbombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCMSamia Suluhu Hassan,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA APATA MENEJA MPYA, KUZICHAPA NA MURRAY UINGEREZA SEPTEMBA 19

Bondia nyota nchini wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalum lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle.Pambano hilo limepangwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huawei P8 wins EISA Award 2015/16

Building on the success of last year’s award-winning Ascend P7, Huawei’s P8 smartphone delivers improved camera performance and surprisingly high-end craftsmanship that gives this affordable device a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YATOA MSAADA WA MAGODORO CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam, (Anayeshughulikia masuala ya Utawala), Profesa David Mfinanga, (Watatu kushoto), akipeana mikono na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AMWAGA SERA MKOANI KATAVI LEO

 Mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya Cham cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli akimwaga sera katika uwanja wa Azimio mjini Mpanda, mkoani Katavi hii leo katika siku ya pili ya kampeni zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ANYWA UJI WA ULEZI SOKONI TANDALE

Mgombea Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha demoktrasia na Maendeleo Chadema, Edward Lowassa akinywa uji wa ulezi hii leo asubuhi alipotembelea soko la Tandale jijini Dar es Salaam. Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC WAZUNGUMZIA KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGAKURA

Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.  Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC ARUSHA KUWA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA 10 LA VYOMBO VYA HABARI

Katibu wa chama cha waandishi wa habari za michezo na burudani mkoa wa Arusha,(TASWA- Arusha) Mussa JumaNa Woinde Shizza,Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA MBEYA ATAKA TAIFA LENYE VIONGOZI WALIOBOBEA KWENYE SAYANSI

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyiremba Munasa akizungumza na viongozi na wajumbe wa Tuiko Mkoa wa Mbeya wakati akifungua mkutano ambao unalengo la kufanya uchaguzi kwa kuwapata viongozi wapya wa Tuiko ngazi...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>