Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUANZA UTEKELEZAJI WA RIPOTI YA APRM

Katibu Mtendaji toka Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) Rehema Twalib akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu mpango wa Serikali kuanza utekelezaji wa ripoti ya APRM,kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA TIGO ‘MILIKI BIASHARA YAKO’ WAKABIDHIWA BAJAJI ZAO

 Meneja Chapa wa Tigo, Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi ufunguo wa Bajaji mshindi wa pili wa promosheni ya ‘Miliki Biashara Yako’, Bw. Riziki Lucas Kisemo (36) mfanyakazi wa viwandani, mkazi wa...

View Article


Meya Slaa azindua rasmi kambi ya Redd’s Miss Ilala

Na Mwandishi WetuMEYA wa wilaya ya Ilala, Jerry Slaa amewataka warembo wa wilaya ua Ilala kuangalia mbele zaidi mara baada ya shindano hilo waone kuna vitu wamejifunza ili kuweza kuwasaidia katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANIGERIA KUITIKISA KENYA KATIKA MIONDOKO YA BOOMBATAA

Wasanii kutoka Nigeria, Panshak Zamani, anayejulikana zaidi kwa jina la Ice Prince(Pichani kulia, pamoja na David Adedeji Adeleke, wanatarajia kuwa wasanii wakubwa watakaoitikisa Kenya mwishoni mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS YAWASILI UGANDA TAYARI KUIKABILI CRANES

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars na benchi la ufundi wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebe nchini Uganda jana tayari kwa mchezo wa marudiano na timu ya Taifa ya...

View Article


TANGAZO LA MSIBA

Familia ya Mr. A Alfaghee inasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa MAIMUNA FATMA KARUMBA kilichotokea jana London UK. Ukiwa kama ndugu, jamaa na rafiki mchango wako wa dhati unahitajika ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI APOTEA AKIELEKEA SHULENI TANGU JUMATATU 22 MWEZI HUU

Pichani ni Mather Joseph mwenye umri wa mika 16. ni manfunzi wa Chuo cha ufundi cha St. Peter Parish aliondoka nyumbani akielekea shuleni huko oysterbay akiwa amevalia ngua za shule sketi ya damu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA MAREKANI WAIPONGEZA TTCL KWA KUTOA HUDUMA BORA ZA MAWASILIAN​O...

  Afisa Mtendaji mkuu wa TTCL Dtk. Kamugisha Kazaura  akibadilishana mawazo na Kiongozi wa ujumbe kutoka ubalozi wa Marekani  hapa nchini Bw. Jeff            Shrader. Kiongozi wa ujumbe kutoka ubalozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC Bra Survey team in Uganda

The EAC Brand 2013 survey team embarked on a week-long mission to Uganda on how citizens perceive the regional integration activities, programme and how much they understand of the Community. The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MILIONI 28 KIJIJI CHA ISNURA, MBARALI, MKOANI...

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu kulia na Meneja kampuni ya bia (TBL) Nicolaus Kanyamala wakizindua kisima cha kijiji cha Isnura Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu akimtwisha maji mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WERUWERU GOLDEN JUBILEE ALUMN MEETING

 "Hongera...Weruweru,umlezi wetuuu...."If this line reminds you of our beloved school,then this is for you. In preparations for our big celebrations of Weruweru's Golden Jubilee,we have a meeting on...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI 3,092 WAMEHITIMU MAFUNZO CCP MOSHI WANAKUJA MTAANI

 Zaidi ya Askari Polisi wapya 3,092 wamehitimu mafunzo yao ya awali ya Polisi katika Chuo cha Polisi (CCP) kilichopo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro hii leo.  Polisi hao wapya ambao wanaingia mtaani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS WAKIWA MAZOEZINI MANDELA NATIONAL STADIUM (NAMBOOLE)

 Wachezaji mbalimbali wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Satrs' ambao wanasakata kabumbu ndani ya nchi wakijifua katika Uwanja wa Taifa wa Mandela uliopo Nambole nchini Uganda. Stars ipo nchini Uganda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMALENGA NA NEEMA WAIAGA RASMI KAMBI YA MAKAPELA TANZANIA

Kambi ya Wasinii wa Filamu na Maigizo pamoja na Kambi ya Waanahabari Makapela Tanzania imepata pigo kubwa baada ya Mwanachama wake Nguli, Simon Simalenga kuamua kuiaga kambi hiyo na kuingia rasmi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA UJUIO WA WAZIRI MKUU WA THAILAND NCHINI

Ndugu Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam,Napenda nichukue fursa hii kuwajulisha rasmi kwamba Nchi yetu imepata heshima ya kutembelewa na Waziri Mkuu wa Thailand ambaye atawasili Nchini tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufadhili kampeni za uchaguzi zakuza rushwa EAC

Na Anne Kiruku,EANA Kukosekana kwa utashi wa kisiasa kwenye vita dhidi ya rushwa  katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kunatokana na jinsi kampeni za uchaugzi wa kisiasa zinavyofadhiliwa. Mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAMBWEWE WAKUTANA NA MBUNGE WAO LEO

 MBUNGE wa Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani, Saidi Mwanamdogo, akizungumza na wanachama wa Mfuko wa Maendeleo ya Wanambwewe waishio Dar es Salaam (MNDF), leo katika ukumbi wa Shule ya Msingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA A RAIS JK MKOANI KAGERA

  Rais Jakaya Kikwete akitawazwa kuwa Omukama (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera. Anayemsimika ni kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya. Rais Jakaya Mrisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM ELIMU EXPO YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM

 Naibu Waziri wa Elimu, Phillip Mulugo (katikati) Mkurugenzi Mkuu wa Elimu Expo, Joel Njama (kulia) na  Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa, wakigonganisha glasi, kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSTAHIKI MEYA JERRY SILAA KUPITIA MDAU AKABIDHI VIFAA KWA AL - MADRASSATUL...

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akizungumza na uongozi wa Al Madrassatul Munauwaratul Islamiya iliyopo Msasani Bonde la Mpunga Ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>