Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERALD NGOWI ALIPOKULA NONDOZZ TOKA CHUO KIKUU MZUMBE

Mdau wa mtandao huu ndg gelard ngowi akipozi wakati wa mahafali ya chuo kikuu mzumbe akisubiri kutunukiwa nondoz yake katika maswala ya uhasibu na fedha ambapo alitunukiwa shahada ya kwanza( BA IN...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMEWADHIBITI M23 NGUVU ZETU SASA ZIKO KWA FDLR- MONUSCO

Mjumbe  Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,  katika Eneo la Maziwa Makuu, Mary Robinson akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa,  baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BASI LA SHUKRANI HII LEO KABUKU; 12 WAPOTEZA MAISHA 93 WAJERUHIWA

Basi la Burudani baada ya ajali leo Wilaya ya Handeni, Tanga. Taarifa kutoka wilayani Korogwe ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo zinasema kuwa watu 12 hadi sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHADHARI YA MVUA KUBWA NCHINI TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa uso kwa uso na Jenerali Musuguri

Waziri Mkuu mstaafu akifurahia jambo na mkuu wa majeshi mstaafu Jenerali David Musuguri walipokutana uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere jijini dar es salaam jana.Jenerali Musuguri ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU AZIDI KUWAPATIA WATANZANIA KAZI DUBAI

 Mwenyekiti wa Kampuni ya Bravo, Abbas Mtemvu (kulia) akimkabidhi Mkazi wa Bagamoyo, Asha Vitalis tiketi ya ndege na nyaraka zingine kwa jili ya safari ya kwenda kufanya kazi Dubai, aliyotafutiwa kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI AFRIKA WAMEONYESHA NJIA KATIKA KUPAMBANA NA MALARIA-BALOZI MANONGI

 Muwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya mwaka 2013 ambayo hutolewa kila mwaka na  Shirika la Afya Duniani,  Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo

  Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akingoza kikao cha kamati kuu ya CCM kilichofanyika katika makao makuu ya CCM Mjini Dodoma leo.Kushoto ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU YA WANANCHI AFRIKA KUSINI WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MADIBA

Maelfu ya waombolezaji ambao ni raia wa Afrika Kusini na wasio raia wa Afrika Kusini wakiwa katika foleni ndefu kuingio akatika Jengo la Union kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa kwanza Mweusi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AMWAGIWA MAJI YA MOTO MWILI NA KUMUUNGUZA VIBAYA

 Muuguzi wa zamu Bi. Neema Bayo akimfunika majeruhi Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu. Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE YA PRECISION ARUSHA LEO

Waziri Mkuu mtstaafu ambaye pia niMbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa ni mionghoni mwa abiria 37 na wafanyakzi 4  wa ndege ya Shirika la Ndege la Precion Air walionusurika kifo hii leo jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWINYI ATUNUKU VYETI MAHAFALI YA KWANZA CHUO KIKUU CHA KAMPALA LEO

 Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Ali Hassani Mwinyi leo alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) naMahafali ya kwanza ya Chuo hicho kufanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 6 WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE 3 WAKIJERUHIWA BAADA YA NGEMA KUKATIKA NA...

Na kijiwechetu.blogspot.comWATU Sita wamepoteza Maisha na wengine watatu wakijeruhiwa vibaya baada ya Ngema kukatika na kuwafukia wakiwa wanachimba mchanga katika machimbo ya Pumwani, wilaya ya Moshi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFUATIA AJALI YA ARUSHA PRECISION AIR YASOGEZA MBELE SAFARI ZAKE ZA NDEGE

Precision Air Flight 422, a flight from Dar es Salaam to Arusha, using ATR 42-600 (code number PWI) departed Dar es Salaam without incident at 11:20am today, 13December 2013, carrying 37passenger on...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA DKT. REGINALD A. MENGI MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED YA...

1.   Nafurahi kwa nafasi ya kuwa nanyi leo kwa kuwa sekta binafsi itapata nafasi ya kipekee  kesho tarehe 16 Desemba 2013, ya kuwa na mkutano chini ya Mhe. Rais Kikwete kama mwenyekiti.2.   Mimi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ampa pole Lowassa

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na kumrekebisha tai mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa ambaye juzi alinusurika katika ajali ya ndege baada ya ndege aliyokuwa akisafiria  inayomilikiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAHENYA NA MAFAILI KUHOJIWA NA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA

Nape akizungumza leo:Picha na Bashir Nkoromo NA BASHIR NKOROMOKamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kikao chake kilichofanyika jana mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete...

View Article


HOTUBA YA KIKWETE KATIKA MAZISHI YA MANDELA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.STANFORD NA CESILIA WALIVYOMEREMETA KATIKA NDOA YAO

 Wakiwa na bashasha ya kuanza maisha mapya kama mume na mke ni wanandoa wapya, Dk. Stanford Mwakatage na mkewe Cesilia Semion ambao walifunga ndoa yao takatifu Desemba 14, 2013 katika Kanisa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA

Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>