Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODA TU BODA YA MWANA MAMA WA MTWARA

 Pikipiki ilirukiwa fasta na Mwana mama huyu, wasio mfahamu wengi walimshangaa, alivaa Kofia ngumu kisha akapachika pochi yake anapotaka na kisha akaiwasha. Huu ni usafiri wake anaoumiliki na huutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRADO INAUZWA

PRADO TX IN GOOD CONDITIONModel: 1997 Millage: 115,000kmCc  3000Engine 1KZ Diesel,Color: Green 2 toneTransmission:  AT5doors, 8passengers, AC, PS, PW, AL, ABS.Price: Tsh 19m/- NegotiableTEL:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII PAMOJA NA SSRA YATOA MISAADA KATIKA WODI YA WAZAZI...

Mkuu wa Kitengo cha uhusiano bi Sara Msika akikabidhi msaada wa shuka 100 na magodoro 30 katika wodi ya wazazi ya chikandeMkuu wa kitengo cha uhusiano cha SSRA Bi Sara Msika akiwa amembeba mmoja kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRAFT 3-The Natural Gas Policy of Tanzania-2013

Draft 3- The Natural Gas Policy of Tanzania -2013to be presented to MPs tomorrowKesho jumamosi wabunge tumealikwa kwenye semina kuhusu sera ya Gesi Asilia. Tumegawiwa tayari nakala zetu, tena zipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinywaji cha Chilly Willy yamwag vifaa kwa Taswa FC, Taswa queens

Meneja Masoko wa kinywaji cha Chilly Willy kinacho sambazwa na kampuni ya TSN Group, Yohana Manoli  (Kushoto) akimkabidhi jezi mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary (wa kwanza kulia) katika hafla fupi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA REDDS MISS MOSHI YASHIKA KASI.

MAANDALIZI ya Redds Miss Moshi 2013 yatakayofanyika Jumamosi, May 18 katika ukumbi wa Aventure, Mjini hapa yameanza kushika kasi.Akizungumza na Tanzania Daima, mratibu wa mashindano hayo, Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA ILIVYOTWAA UBINGWA WA SOKA TANZANIA BARA MBELE YA SIMBA

Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub 'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake. Raha ya ushindi. Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WINLADY WHITE NDIYE REDD'S MISS MOSHI 2013

Mkurugenzi wa Executive Solution, Aggrey Mareale (wa kwanza kulia, alivaa mavasi meusi),  Mshindi wa pili, Veronica Chami, mshindi wa Redds Miss Moshi, Winlady White (mwenye taji), mshindi wa tatu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MONTAGE YAIKABIDHI WAMA MILIONI 70 KUSAIDIA AFYA YA MAMA NA MTOTO...

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Salma Kikwete akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 70 kutoka kwa Mkurugenzi wa Montage Limited, Teddy Mapunda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTWARA WAPOKEA TUZO ZA SAFARI LAGER

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba,Ponsiano Nyami (kushoto), Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (wapili kushoto),Meya wa Maspaa ya Mtwara Mikindani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOCHAFUA KINYWAJI CHA KIROBA WASHITAKIWA BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRINGA KIMENUKA HII LEO KATI YA POLISI NA MACHINGA

Habari zilizotufikia ni kwamba vurugu zimezuka tena Iringa kati ya Polisi na Wamachinga na kwamba Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa (Chadema) anatafuta na polisi kwa kuhusishwa na uhamasishaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA MWENYEKITI WA CCM RAIS KIKWETE NA WABUNGE WA CCM

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi wa jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDDS MISS KIBAHA 2013 NI NZERA KITANO

ALIYEKUWA mshiriki namba 6 katika shindano la kumsaka Redds Miss Kibaha 2013 Nzera Kitano ameibuka kua Redds Miss Kibaha 2013 katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Conteainer Kibaha Maili Moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE ALLY KLEIST SYKES AFARIKI DUNIA JIJINI NAIROBI LEO

FAMILIA YA SYKES INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA  MZEE WAO ALLY KLEIST SYKES  (PICHANI) KILICHOTOKEA LEO MEI 19, 2013  KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN JIJINI NAIROBI, KENYA,  ALIKOKUWA AMELAZWA.MSIBA UKO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TABATA KUTEMBELEA MIKUMI MEI 26

Washiriki wa Miss Tabata 2013  (pichani) watatembelea mbuga ya wanyama ya Mikumi wikiendi ijayo. Mratibu wa shindano hilo Godfrey Kalinga anasema lengo la ziara hiyo ni kukuza utalii wa ndani, na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS KIGAMBONI 2013 NI JUNI 7 MWAKA HUU

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Kigamboni wakiwa kwenye mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika Ijumaa Juni 7 mwaka huu kwenye ukumbi wa Navy Beach ulioko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTEMBELEA BANDA LA NSSF

 Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifandji ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori wakati alipotembelea banda la NSSF katika maonesho ya Wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN U KUTETA NA AIRTEL JUU YA MRADI WA AIRTEL RISING STARS NCHINI

Viongozi wawili kutoka Manchester United -- Anthony Benerjee, Mkurugenzi wa Uhusiano na Michael Higham, Meneja Uhusiano wanatua jijini Dar es Salaam Jumatano hii kufanya manzungumzo na viongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA 'SUGU' YAPIGWA 'STOP' BUNGENI NA KIKAO CHA BUNGE KUAHIRISHWA

Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni kwa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo iliyokuwa ikisomwa na Msemaji (Waziri Kivuli wa Wizara hiyo) ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>