Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukaguzi Maalumu akaunti ya Tegeta Escrow

Hadidu rejea 1)      Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO 2)      Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Covenant yatoa maabasi na bajaji kwa wajasiriamali

Mwenyekiti wa  Benki ya  Covenant  Balozi Salome Sijaona  akimkabidhi  mratibu wa uhamasishaji wa vikundi vya Wilaya ya Temeke Bi.Tukae Kondo ufunguo wa pikipiki baada ya kuwapatia mikopo wajasiliamali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zantel yapiga jeki mchezo wa Netiboli

Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Serikali kutoka Zantel Bw. Charles Jutta (kushoto), akiwakabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA UWEKEZAJI CHAFANIKIWA KUSAJILI MIRADI 9,442

KITUO cha           Uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kusajili miradi 9,442 tangu kuanzishwa kwake hadi 2013.Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa TIC, Pendo Gondwe (pichani juu) wakati wa mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maisha Plus: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro

 Mwandishi Wetu, Dar es alaamWASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA HOTUBA YA WARIOBA ALIYOITOA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA DODOMA

Hotuba Ya Mkiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba aliyoitoa katika Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma Machi 18, 2014.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya

 Kaimu mkurugenzi wa  biashara na masoko wa shirika la ndege la Air Tanzania, Juma Boma (wa pili kulia) akipanda ndege mpya aina ya CRJ-200 katika uwanja wa ndege Julius Nyerere muda mfupi kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI CCM YAANZA VIZURI CHALINZE

Maandalizi ya mkutano mkubwa wa uzinduzi wa kampeni za Ubunge kupitia CCM jimbo la Chalinze yaendelea vizuri ambapo jioni ya leo Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuhutubia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA 6

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akitangaza washindi wa droo ya sita ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE MWINYI AZINDUA TAWI LA BENKI YA KCB SHARIAH JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi (Katikati)akizindua tawi jipya la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam, litakalotoa  huduma kwa kuzingatia maadili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO CHALINZE

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye Uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Viongozi wakuu wa kampuni ya Smart Telecom,Afrika Masharikii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi waliojipatia zawadi kupitia mtandao huo,baada ya kushiriki kwenye kampeni ya GIVE US A...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA WANAWAKE WASICHANA WATEMBELEA HOSPITALI YA KALOLENI KUJIONEA HUDUMA...

 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa umoja wa wanawake vijana wa kikristo duniani walipofanya ziara katika kituo cha afya cha Kaloleni jijini arusha kujionea hali ya huduma kwa akina mama wajawazito na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA 2014 YAZINDULIWA RASMI LEO DAR ES SALAAM

Meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria kimaro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kuzinduliwa kwa mashindano ya Redd,s Miss Tanzania 2014Mkurugenzi wa kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE: CCM BADO INA IMANI NA MUUNDO WA SERIKALI MBILI

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti CCM Makao Makuu Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es Salaam ambapo alizungumzia imani ya CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YAZUNGUMZA NA WANAHABARI DAR ES...

 Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaamMkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI

  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani,Mwishehe Shaban Mlawa akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Kampeni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA

 Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mbeya iliyopo jijini na Mkoa wa Mbeya, Magreth Haule, akitoa neno la shukrani kwa niaba ya walimu, wafanyakazi na wanafunzi wa shule hiyo  kwa maofisa wa kampuni ya Simu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKIANDAA NONDO ZAKE ZA KUZUNGUMZA BUNGENI KESHO

Kweli Urais hauna ubia wala muda ama sehemu ya kuchapa kazi. Wakati wowote na mahali popote ni sehemu ya kazi, kama inavyoonekana hapa  ambako Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya...

View Article

maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini...

MKurugenzi wa Msama Promotions Ltd,ambao ndio waandaji wa tamasha la krismass na Pasaka,Bwa.Alex Msama amesema kuwa maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza kufanyika jijini Dar mnamo...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>