Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA UBUNGE CHALINZE AJERUHIWA KWA MAPANGA

Mgombea Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ramadhani Mgaya kupitia chama cha AFP amejeruhiwa kwa mapanga na watu wasio julikana.Mgaya amesema amevamiwa na kujeruhiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TORONGEY AENDELEA KUJINADI CHALINZE

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Issa Said Mohamed akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Miono, katika mkutano wa kampeni, uliofanyika kijijini hapo.Baadhi ya wananchi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI

Makamu mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani akiongea jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI,KUZUNGUMZIA MWENENDO WA...

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wake wa kuzungumzia mwenendo mzima wa Kampeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IBADA YA KUUOMBEA MWILI WA ALIYEKUWA ASKOFU WA KANISA LA ANGLICAN DAYOYSISI...

 Jeneza likiwa na  mwili wa aliyekuwa Askofu wa kanisa la Anglican Dayosisi ya Dodoma Godfrey Mdimi Mhogolo aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika ya Kusini alikopelekwa kwa matibabu likiwa ndani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TSN BOYS KUKABILI MWANANCHI MEDIA KOMBE LA NSSF KESHO: MROKI AIAHIDI DAU NONO

Kikosi cha TSN Boys TIMU ya soka ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) inashuka dimba la Sigara, Chang’ombe, Dar es Salaam kuikabili Mwananchi katika Kombe la NSSF kwa Vyombo vya Habari 2014.Mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK SHEIN ALIPOFUNGA KAMPENI ZA CCM CHALINZE NA KUMNADI RIDHWANI KIKWETE

 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Zanzibar Dk.Mohamed Shein akimnadi mgombea wa Ubunge wa CCM Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete kwenye mkutano wa kufunga kampeni uliofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPA YATOA MSAADA WA MADAWATI 110 SHULE YA MSINGI MAHUMBIKA MKAONI LINDI

Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela(kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA TANZANIA LAENDELEA VIZURI, WENGI...

Vijana waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la kusaka vipaji vya Kuigiza wakiingia katika eneo la Ukumbi wa Isamilo lodge tayari kwa kuanza kuonyesha Vipaji vyaoBaadhi ya vijana wakijaza fomu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA WAPIGA KURA CHALINZE KUCHAGUA MBUNGE WAO LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya mrisho Kikwete akisoma karatasi ya kupigia kura kabla ya kupia kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Chalinze kwenye kituo cha kupigia kura cha Zahanati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA HII INAUNYWA IPO ZIZI LA NG'OMBE IRINGA MJINI NI TSH MILIONI 14.5

Mwonekano  wa  nyumba kwa  nyumaShimo  la  choo Mwonekano  wa  mbele Nyumba  hii  inauzwa kwa  kiasi  cha Tsh  milioni 14.5 maelewano  yapo  ina vyumba vinne  vya  kisasa kikiwemo  kimoja masta  ,choo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI BRAZIL

 Wachezaji wa Tanzania wakishangilia ushindi wao na kutinga Fainali za michuano ya dunia kwa watoto wanaoishi mazingira magumu.Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania (pichani juu)  imetinga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU

Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika)  akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo  ambayo itamuwezesha  mtanzania yeyote kuweza kupimamacho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO RASMI UCHAGUZI CHALINZE

MATOKEO RASMI JIMBO LA CHALINZE;-RIDHIWAN JAKAYA KIKWETE;- Hatimaye Ridhiwani Kikwete aibuka kidedea ubunge Chalinze kwa 86.61% akiwa amepigiwa kura na wakazi 20,828. matokeo yametangazwa sa 9 usiku wa...

View Article

TANZANIA MOVIE TALENTS WAONGELEA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA FEDHA YAWEKA WAZI JINSI ITAKAVYOTEKELEZA MATOKEO MAKUBWA SASA 'BRN'

Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, hivi karibuni. Semina hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood

Jenerali Mark Milley, Kamanda wa Fort Hood akizungumza na waandishi wa habari Wiki iliyopita, nchi ya Marekani ilikumbwa na mauaji mengine yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi huko Fort Hood,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 42 YA ZANZIBAR BILA SHEIKH AMANI ABEID KARUME

LEO TAIFA la Tanzania linaadhimisha kifo cha Mwanamapinduzi ya Visiwa vya Zanzibar na rais wa Zanzibar ambaye pia alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania, Sheikh Aman Abeid Karume aliyeuwawa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUANO WA KUTAFUTA VIPAJI VYA UIGIZAJI MWANZA

 Majaji wa Shindano la Kusaka la Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo wakati wa Zoezi la kusaka vipaji vya uigizaji kuingia Hatua ya pili kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA MABINGWA WA DUNIA MASHINDANO YA SOKA LA WATOTO WA MTAANI 2014

Mchezaji wa Timu ya taifa ya Tanzania ya watoto wa Mtaani, Kelvin Sospeter a.k.a Nashi akishangilia ushindi wa timu yao dhidi ya Burundi. *****Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetwaa...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>