Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA NZEGA, DK. KINGWANGALA: TCME WAMEUPOTOSHA UMMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA

 Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, leo Machi 28, 2014. Semina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WINDHOEK AMBAO NI WADHAMINI WAKUU WA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA BONGO...

 Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Mengele (Nyerere) akihojiwa na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya Kutimiza miaka 3 ya Klabu ya Bongo Movie, sherehe iliyofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU PINDA AKABIDHI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14, DK MARIA...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano Dk. Maria Kamm aliyetwaa Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013/2014 ndani ya Ukumbi wa African Dreams uliopo Area...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI WAENDELEA...

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo (kulia) akimkabidhi zawadi ya king’amuzi kwa niaba ya mmoja wa washindi wa wiki Denis Mbaga katika ofisi za Kiwanda cha Serengeti  mwishoni mwa wiki jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEDUTA HOTEL NI KIOTA KIPYA CHA MARAHA JIJINI DAR ESSALAAM

SEDUTA HOTEL ni kiota kipya cha maraha kilichopo jijini Dar es Salaam eneo la Mbezi Beach, Salasala jijini. Ukiwa Seduta hutadhani kama upo ndani ya jiji la Dar es Salaam kwani ni mahali tulivu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA...

Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Bw. Lewis Kalinjuna akiongoza kikao cha Baraza la Madiwani katika kupitisha sheria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AZURU KATA ZA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa,  Hypolitus Matete (aliyenyoosha mkono), akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana mandahari ya eneo la Ziwa Tanganyika, linalotumiwa na wavuvi katika eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CFAO MOTORS WAZINDUA TOLEO JIPYA LA MERCEDES BENZ JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne McIntosh akiteta jambo na baadhi ya wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa toleo jipya la gari aina ya Mercedes Benz E-Class...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA BARABARA...

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimueleza jambo Mbunge wa jimbo la Nkasi Kaskazini,Mh.Ali Mohammed Kessy,walipokuwa wakitembea kwa miguu kufuatia msafara huo kukumbana na changamoto ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZIGO MUPYA UMEWASILI NDANI YA DUKA LAKO LA VIP COLLECTION

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA KADHILIKA MWENYE MIGUU HAAMBIWI TEMBEA MALI MUPYA zimewasili katika Duka la  VIP COLLECTION lilipo Mwananyama A jijini Dar es Salaam.VIP Collection inakwambia hakuna habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA KUJIUNGA NA NSSF

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka (wa pili kulia), akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Carloyne Newa (kushoto), kuhusu kujiunga na Mfuko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MVUTI DAR

 Mkuu wa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Stephen Kilindo (kulia) na Afisa Uhusiano wa Kampuni hiyo, Bi. Doris Malulu, wakimuongoza Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA

Sehemu ya madawati kati ya 300 yaliyotolewa na mpango wa Mayor's Ball 2013 kupitia kampeni yake ya "Dawati ni Elimu" inayolenga kutatua uhaba wa madawati kwa shule zilizomo ndani ya Manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIJI LILIVYOZARAU NA KUDHALILISHA BIASHARA YA MAGAZETI DAR ES SALAAM

LICHA ya kuwa ni kusafisha jiji la Dar es Salaam lakini imeelezwa na wadau mbalimbali hasa wa habari jijini humo kuwa kitendo cha jiji la Dar es salaam kuvunja na kuharibu meza za kuuzia magazeti kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA BRIEN HOLDEN KUZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA...

 Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhisina na uzinduzi wa upimaji macho utakao fanyika Dar es Slaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LANGU SASA IPO MITAANI

Hatimaye filamu ya JICHO LANGU imetoka siku ya leo. Sasa unaweza kujisogeza taratibu madukani kujipatia nakala yako. Usisubiri wenzako waangalie ndipo usimuliwe, wewe unatakiwa kuwa wa kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFIKIZOLO KUWASILI LEO JIJINI DAR, KUPIGA SHOW MLIMANI CITY

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014

Na Mwandishi WetuWarembo 17 wamejitokeza kushiriki katika shindano la kumtafuta Redds Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga alisema jana kuwa warembo hao wanaendelea na mazoezi...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>