Twanga Pepeta kupamba utambulisho Miss Tabata Pasaka
Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa mazoezini Da’ West Tabata.******Na Mwandishi WetuBendi ya African Stars “Twanga Pepeta” itasindikiza uzinduzi wa Redds Miss Tabata itakayofanyika Jumapili ya Pasaka...
View ArticleFAMILI KITCHEN PARTY GALA YAFANA MJINI DODOMA, SASA KUELEKEA MWANZA
Watoa huduma wa shirika linalo jishungulisha na masuala ya afya la PSI Tanzania wakiendesha zoezi la upimaji wa Saratani ya shingo ya kizazi katika jukwaa la FAMILIA KITCHEN PART GALA 2014...
View ArticleNENO MAALUM KUTOKA KWA RIDHIWANI KIKWETE
Baada ya safari ya miaka 34 ya kutembea duniani na mafanikio ambayo mungu amenipa , naomba kutumia kurasa huu kuwashukuru tena ninyi wazazi wangu,marafiki zangu, wananchi wenzangu wa Chalinze kwa...
View ArticleUVCCM SAME YAMSIMIKA KAIRUKI KUWA KAMANDA WAO
Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM Sixtus Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, kuwa Kamanda wa Vijana wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.Katibu mkuu wa umoja wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWA MAREHEMU...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014, siku...
View ArticleUFUNGUZI WA MAONYESHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO
Kikundi cha ngoma toka Jeshi la Kujenga Taifa kikitumbuiza kwenye uzinduzi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano katika viwanja vya Mnazi mmoja Mgeni Rasmi wa maonyesho ya miaka 50 ya Muungano ,Makamu...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BANDA LA BODI YA MIKOPO KATIKA MAONESHO YA MIAKA 50...
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilali leo Aprili 16, 2014 ametembelea viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kujionea maonesho ya Miaka 50 ya Muungano yanayoendelea katika vuiwanja hivyo....
View ArticleIDYDC 2014 WORLD MALARIA DAY SOCCER TOURNAMENT YAFANA MKOANI IRINGA
Mshambuliaji wa Shule ya Sekondari ya BaoBab ya Bagamoyo mkoani Pwani, Zuward Ally akiwatoka mabeki wa timu ya Upendo wakati wa Tamasha la Soka la kuadhimisha Siku ya Malaria Duniani 2014...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYA YA MPANDA
Kattibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya...
View ArticleWEMA SEPETU NA WASANII WENZAKE WAZINDUA GLOBAL TV ONLINE
Kutoka kushoto: Wasanii Dk. Cheni, Bi. Mwenda, Profesa Jay na Wema Sepetu wakishiriki kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa GlobaL TV Online jana.Wema Sepetu na Profesa Jay wakifunua vitambaa wakati...
View ArticleMPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI GHAFLA
Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa...
View ArticleRAIS KIKWETE NA WANAFUNZI KATIKA PANTONI, JIJINI DAR
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe wakiongea na watoto Samir Juma (fulana nyekundu) na Salum Chumu wakiwa katika pantoni la MV...
View ArticleTAARIFA YA MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA MAENEO YA KATIKATI YA JIJI LA...
Key: 1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}. 2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way} 3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking Streets}...
View ArticleGavana wa Mombasa County na Seneta watembelea "Live talk" ya VOA .
Kutoka kushoto Seneta wa County ya Monmbasa Hassan Omar , Mtangazaji wa VOA Abdushakur Aboud , Gavana wa Mombasa County Ali Joho na waziri wa Vijana , Jinsia na Michezo wa County hiyo Hazel...
View ArticleMAMA KIKWETE AWAASA WALIMU NA WAZAZI KUSIMAMIA WATOTO VYEMA KATIKA ELIMU
Na Anna Nkinda- Maelezo, LindiMjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka wazazi na walimu kushirikiana kwa pamoja na...
View ArticleDk. Salim kushuhudia Usiku wa Mwambao Asilia leo
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku wa Mwambao asilia...
View ArticleMzee Mwinyi atembelea banda la Mamlaka ya usafiri wa Anga katika Maadhinisho...
Rais Msaafu wa awamu ya pili Ali Hassani Mwinyi akikabidhiwa nyaraka na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chach,zenye ujumbe wa shughuli zinazofanywa na...
View ArticleAZAM FC YAKABIDHIWA KOMBE LAO RASMI CHAMAZI, SIMBA IKIENDA SARE NA YANGA TAIFA
Wachezaji wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Azam FC ya Chamazi Dar es Salaam wakishangilia baada ya kuweka historia ya kutwaa Ubingwa wa Soka Tanzania 2013-2014. Ubingwa huo ulikuwa unashikiliwa na...
View ArticleMiss Tabata kutambulishwa leo Da West
Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa mazoezini Da’ West Tabata. *********Na Mwandishi WetuWarembo watakaoshiriki kwenye shindano la kusaka mrembo wa Tabata 2014, watatambulishwa leo katika ukumbi wa Da...
View Article