Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BODA BODA KABUKU

Mwendesha pikipiki na abiria (majina hayakutambulika kwani walikuwa hawawezi hata kuongea) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari dogo lenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBASHA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UBAKAJI

MSANII Emmanuel Mbasha (32) na mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha (pichani wakiwa kwenye shughuli zao siku za nyuma) amefikishwa katika  Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Onyo kuhusu utapeli wa ajira katika kampuni ya Tigo

Onyo kuhusu utapeli wa ajira katika kampuni ya Tigo Tumepata taarifa kwamba kuna baadhi ya watu wasiowaaminifu wanaojifanya wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na kutumia mwanya huo kuwadanganya wananchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GALLAWA MGENI RASMI NICE & LOVELY MISS TANGA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Mheshimiwa Chiku Gallawa  atakuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka mrembo wa mkoa huo, Nice & Lovely Miss Tanga 2014 siku ya jumamosi tarehe 21/06/2014,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO MUSIC KUTUMBUIZA REDD'S MISS CHANG'OMBE

Warembo wanaowania taji la Redd's Miss Chang'ombe wakiwa katika pozi, shindano hilo litafanyika Juni 27 katika ukumbi wa TCC Chang'ombe jijini Dar es Salaam.*******  Na Mwandishi WetuMKALI wa kibao cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA WINDA SAFARI YA BRAZIL NA SERENGETI WAREJEA

Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Bw. Allan Chonjo akiwaongoza washindi wa tiketi ya Winda SAFARI YA Brazil na Serengeti mara baada ya kuwasili katika kiwanja cha ndege cha Mwalimu Nyerere....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa

Washindi wa bahatinasibu ya Shinda Ki-Brazili na Mwanaspoti,Issa Rashid (wapili kushoto) na Michael Msumba (wapili kulia) wakipokea zawazi zao kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Mult Choice ( Dstv ) Barbara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI

 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema (kushoto) akimkabidhi tuzo ya cheti Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu, kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika utunzaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKUNDI CHA PHENOMENAL CHA WATEMBELEA YATIMA JIJINI ARUSHA

​ WANAKIKUNDI wa Phenomenal Women Group  (PWG) Jijini  Arusha Mara wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili katika kituo cha Watoto Wanaoishi katika mazingira magumu cha Sunrise Maji ya Chai nje...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE ANAPO KWEA BODABODA KUWAHI NDEGE BAADA YA KUKWAMA KATIKA FOLENI

 Adha ya Foleni jijini Dar es Salaam imemkumba mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka nchini Tanzania, Shy-Rose Bhanji aliyekuwa akisafiri kwa ndege na kulazimika kukwea bodaboda ili imuwahishe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGANYAGWA KUTUMBUIZA TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU HUU

Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAKE GAS YAZINDUA MITUNGI YA KISASA YA GESI ZA MAJUMBANI

 Mmililiki wa Makampuni ya Lake Oil Ally Edha Awadh, wazalishaji wa Gesi ya Lage Gas akizungumza wakati wa uzinduzi huo. Mmililiki wa Makampuni ya Lake Oil Ally Edha Awadh, wazalishaji wa Gesi ya Lage...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA

 Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 wakijadiliana namna kuanza zoezi la kufanya usafi katika maeneo yayoizunguka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga. Shindano hilo litafanyika jumamosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOSIA WA MAREHEMU EDWARD KAHURANANGA.

Mwandishi na mtangazaji wa habari wa siku nyingi, Bwana Edward Kahurananga, amefariki dunia hapo juzi tarehe  17/6/2014 baada ya kuugua na kulazwa kwa muda mfupi.Marehemu Edward Kahurananga alizaliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA TCAA YATIA FOLA KATIKA MAONESHO YA WIKI...

Afisa Utwala Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA,Catherine Monarya akiwaonyesha Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mnazi Mmoja ya jijini Dar es Salaam redio ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LULU NA JOTI WAFUNGA NDOA KIMYA KIMYA

Hatimaye Msanii Elizabeth Michael maarufu kama Lulu afunga Ndoa ya Kimya Kimya na Msanii wa Vichekesho Lucas Mhavile maarufu kama JOTI. Ndoa hiyo ya Kimya imefungwa siku chache zilizopita katika fukwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akusudia kushika chaki tena

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo amekumbuka enzi za kuwa mwalimu katika Chuo cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania cha Monduli, Arusha, alipotoa  mhadhara  kuhusu Fursa (A lecture of Opportunity) katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR LIVE INAKULETEA VUNJA JUNGU, JUMAMOSI JUNI 28, 2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAMICO YAAHIDI NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI

Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO wakiwahudumia wageni waliotembelea katika banda lao kwenye maonyesho ya wiki ya Utumishi yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 6 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA...

 Watu zaidi ya 6 wamepoteza maisha papo hapo na wengine 12 kujeruhiwa vibaya  kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>