Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF NA TPB WAZINDUA MIKOPO KWA WASTAAFU

Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo (wapili kushoto) akiwa ameshikana mikono na Afusa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT BILAL AZINDUA MTAMBO WA MAJI TAKA WA KIWANDA CHA SERENGETI CHA MWANZA LEO

 Makamu wa Rais Dkt Mohammed Gharib  Bilal akifungua kipazia kuzindua Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeti cha Mjijini mwanza kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya kiwanda cha Serengeti.Makamu wa Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto), akisadiwa na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, kukata utepe kuzindua filamu mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF WAANZA MKUTANO WAO MKUU NA UCHAGUZI DAR ES SALAAM LEO

 Chama cha wananchi CUF, leo kiameanza mkutano wake Mkuu wa siku tano katika Ukumbi wa Blue Pearl uliopo Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine Chama hicho kitafanya Uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinondoni Kujenga Daraja litakalounganisha Mabwepande na Kitongoji cha...

Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (wa pili kushoto),Diwani wa Kata ya Mabwepande Clement Boko (kushoto) Naibu Meya Songoro Mnyonge (wa pili kulia) na Meja Jenerali Dk,Charles Muzanila (kulia)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampeni ya Diwani Bonnah Kaluwa wa Kipawa ya kuchangia damu yafikia kilele

Meya wa Ilala, Jerry Silaa akifungua rasmi tamasha la kuchangia damu katika viwanja vya Stakishari, Majumbasita, Dar es Salaam leo. Kampeni hiyo ya siku 10 iliratibiwa na Diwani wa Kipawa Bonnah Kaluwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar...

View Article

PATA HABARI MBALIMBALI ZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA LORI KINYEREZI

Lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T142BJM na tela lenye namba za usajili  T111ALD  likiwa limepinduka baada ya kuvunja daraja la muda lililopo barabara ya Kinyerezi Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AHUDHURIA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA

 Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari  nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA RAIS WA CHINA

 Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao(hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU ZA AFRIKA HUKO BRAZIL KATIKA KOMBE LA DUNIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

 Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL KUWAJENGEA KISIMA CHA MAJI CHA SH MIL. 29 WANANCHI WA SARANGA, DAR

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu akimkabidhi Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Benetris Mapesi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil 29  za msaada wa ujenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WA NEWALA MAGALA AFUNGUA SEMINA YA WAJUMBE WA TANECU

 Mkuu wa Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, Christopher Magala akihutubia katika ufunguzi wa semina ya wanachama wa Chama cha Ucshirika cha Tandahimba na Newala (TANECU) leo. Baadhi ya Wajumbe wa Chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL FAMILY DAY NA MNUSO WAO BABKUBWA

 Wafanyakzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na familia zao wakiwa kwenye foleni ya kupata msosi wakati wa hafla ya Siku ya Familia ya TBL,  kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, Hoteli ya Bahari Beach,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA UKWELI NA UHAKIKA SASA YAPO MLANGONI KWAKO DAR ES SALAAM

  Bidhaa hizi ni Original (asilia ) kabisa na yeyeto mwenye kuzihitaji Piga simu +255 715 353465

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS SINZA 2014 KUUMANA VIKALI KESHO

MNYANGE atakayefanikiwa kuibuka mrembo wa kitongoji cha Sinza ‘ Redds Miss Sinza  2014’ katika shindano litakalofamyika kesho Ijumaa kwenye Ukumbi wa Meeda Night Club uliopo Sinza jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YATETA NA WAHARIRI MJINI BAGAMOYO

Kamimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya NHIF Khamis Mdee akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kwenye hoteli ya Oceanic Bay mjini Bagamoyo asubuhi hii wakati wa seina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EVANS AVEVA AMALIZA KAMPENI ZA URAIS SIMBA KWA KISHINDO

 Mgombea wa nafasi ya urais Evans Aveva, akiwa na Mlinzi wake 'Board Guard' (nyuma) akijinadi kwa wanachama, wakati wa mkutano wake wa kampeni za mwisho na waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu wa...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>