Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA AFRIKA JIJINI DAR LEO

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya baadhi ya Mawaziri waliohudhuria  mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi ulio wahusisha mawaziri wa mazingira na mawaziri wa mambo...

View Article


PATA HABARI KEM KEM ZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Bulletin 31c

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA NHC KONGWA DODOMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEKININI YA P-SQUARE NI HATARI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALLY TALIKE CHALAMILA THANKS GIVING NIGHT

Biharusi mtarajiwa Sally Talike Chalamila akiwa katika pozi la picha wakati wa tafija maalum ya kutoa shukrani kwa ndugu jamaa na marafiki kabla ya kufunga ndoa wiki ijayo jijini Mwamza. Tafrija hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA FYFES WHISKY JIJINI ARUSHA

Meneja Masoko wa TBL Tanzania Bw.Joseph Chebehe akizindua kinywaji kipya cha FYFES WHISKY katika hotel ya Mt.Meru jijini ArushaMeneja wa Brand ya Tanzania Distilleries Limited kampuni tanzu ya Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA VODACOM AWANIA UONGOZI CHADEMA ZANZIBAR

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA Zanzibar Bi Maryam Ahmed Omar akimkabidhi fomu Salum Mwalim fomu ya kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho kundi la Zanzibar katika hafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAINALI YA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) NDANI YA MLIMANI CITY LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA SC YAUNDA KAMATI NDOGO NNE KUSAIDIA UTAWALA BORA KLABUNI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMwanasheria Sam Mapande, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YANGA –(Utawala Bora) anapenda kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wana YANGA,ameunda Kamati ndogo chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN U YALAZIMISHWA SARE NA BURNLEY

Kiungo mpya wa tumu Manchester United ya Uingereza  MuargentinaAngeldiMaria(juu) akiwania mpira dhidi kiungo wa timu ya Burnley, DeanMarneywakati wa mechiLigi ya Uingerezailiyopigwa leo katika uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA TANESCO LISIKIKILIZENI KILIO CHA WAKAZI WA MWANAGATI-KITUNDA!

 Wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam  na maeneo jirani wamelilalamikia shirika la TANESCO  kwa kukatiwa umeme kwa siku tatu mfululizo,bila taarifa yoyote kutolewa kwa wakazi hao.''hatuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI WAIBUA MAKUBWA NGONO ZA UTOTONI DAR

Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YAIUWA TOTTENHAM 3-0

 BRENDAN Rodgers jana alisherehekea kuiongoza Liverpool katika mechi ya 100 kwa ushindi  mwingine wa mabao 3-0 dhidi ya Tottenham kwenye uwanja wa White Hart Lane.Mario Balotelli alipoteza nafasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA ACHENI OKWI AONDOKE: CANAVARO

Na Father Kidevu BlogNAHODHA wa Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema haoni sababu ya viongozi na mashabiki wa timu hiyo kuhuzunika baada ya kuondoka kwa Emmanuel Okwi,kwani timu hiyo inawachezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF J, SIR NATURE NA WENGINE WATOA WIMBO MAALUM WA PONGEZI KWA JWTZ KWA...

 Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa kwenye maonyesho Katika Uwanja wa Taifa.Picha na Maktaba.Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa mazoezini.******** Na Josephat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA FIESTA 2014 LILIVYOSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA MJI WA MOSHI...

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiimba kwa hisia jukwaani. Mwanadada Feza Kessy akiimba jukwaani wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyka mwishoni mwa wiki katika viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PHIRI ATAMBA KUKAMILISHA KIKOSI CHA UBINGWA BAADA YA USAJILI WA OKWI

Na Father Kidevu BlogKOCHA Mkuu wa Simba Mzambia Patrick Phiri amesema kwa sasa kikosi chake kimekamilika na kipo tayari kwa mechi za Ligi Kuu.Phiri ambaye aliiongoza Simba kupata ushindi wa mabao 5-0...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTA UNITED VIDUME WAMNYAKUA FALCAO

Manchester United wameshinda vita ya kumsajili nyota wa Monaco, Radamel Falcao.Falcao ameanguka wino leo ikiwa ni siku ya mwisho ya kufunga pazia la usajili kwa Ligi Kuu ya Uingereza kukipiga na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAANZA KUTOA ELIMU JUU YA UGONJWA WA EBOLA

Kufuatia hofu ya ugonjwa hatari wa Ebola kuweza kupenya nchini Tanzania na kuleta madhara kwa wananchi wake, serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeanza kutoa elimu ya dalili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elihuruma Ngowi joins Serengeti Breweries Ltd

Mr. Elihuruma Ngowi has joined Serengeti Breweries Ltd. as Brand Manager with a profound experience in Customer Care, Marketing and Sales after having spent over eight (8) years at Vodacom Tanzania...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>