Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MKUBWA NA WANAWE YAZINDULIWA MAISHA CLUB CHINI YA VODACOM TANZANIA

Waimbaji wanaounda kundi la “Yamoto Band”Aslay, Becka, Bella na Maromboso wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa video yao ya mkubwa na wanawe,uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPEPO WAZUA BALAA JIJINI DAR ES SALAAM

 Upepo mkali uliotangazwa na Malka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) kuwa utakuwa mkubwa na mawimbi bahari ya Hindi umeanza kuleta athari jijini Dar es Salaam kwa miti kuanguka ambapo leo majira ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RACHAEL CLAVERY NDIYE MISS LAKE ZONE 2014

Malkia wa kanda ya Ziwa, 'Miss Lake Zone 2014' Rachael Clavery (katikati) akiwa jatika picha ya pamoja na mshindi wa pili Mary Emanuel (kulia) na Mshindi wa tatu Nikole Sarakikya (kushoto) mara baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA NAKALA YAKO YA MAGAZETI YA SERIKALI HII LEO SEPTEMBA 2 2014

 Magazeti yaliyosheheni matangazo na habari kem kem za uhakika. Matangazo ya Tenda na ajira lukuki.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FACAO SASA KUSAIDIA UKARABATI WA MANCHESTER UNITED BAADA YA KUSAINI MKATABA

Radamel Falcao akiwa ameshikilia uzi wa timu yake mpya ya Manchester United muda mfupi baada ya kukamilisha taratibu za usajili wake ambapo amesaini mkataba wa kuichezea timu hiyo kwa mkopo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FATHER EVOD SHAO AAGWA KWA KISHINDO BALTIMORE MD.

Fr. Shao wa kanisa la Katoliki Balktimore anayeongoza Parokia hiyo pamoja na misa za Kiswahili DMV akiwa na Padre anayechukua nafasi yake Fr.Honest Munishi Jumapili katika ibada maalum ya kumwaga Padre...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAR WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014, MWANAAFA MWINZAGO AWA KIVUTIO...

Mshindi wa Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 Mwanaafa Mwinzago (Katikati) akisindikizwa na Matron pamoja na Mfanyakazi wa TMT huku akilindwa na Mabaunsa wakati alipopelekwa Katika Mitaa ya Kariakoo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA TUNAWASUBIRI MOROGORO KUWAPA KICHAPO: MTIBWA SUGER

N a Fadharkidev BlogKOCHA wa Mtibwa Sugar Mecky Mexime,amesema kikosi chake kimejiandaa kuitoa nishai Yanga katika mchezo wa ufunguzi utakaochezwa Septemba 20 kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.Mexime...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMERICAN SENATORS VISIT SERENGETI NATIONAL PARK

 Director General of TANAPA Mr. Allan Kijazi (right) welcomes the Chairperson of the US Senate Committee on Agriculture, Nutrition and Forestry and Michigan Senator Ms. Debbie Stabenow during the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUJIPIMA KWA THIKA UNITED YA KENYA UWANJA WA TAIFA

Na Fadhar Kidevu  BlogKOCHA wa Yanga Marcio Maximo,amesema atashusha kikosi kamili kesho wakati timi hiyo itakapokuwa inapambana na Thika United ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa utakao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS ILALA 2014 HIYOOO!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi leo kujiunga na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETI YA SERIKALI (TSN) HII LEO SEPTEMBA 03 2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MSIBA WA BAHATI MWAKABUNGU

MAREHMU BAHATI MWAKABUNGU ENZI ZA UHAI WAKEWANAFUNZI AMBAO TUMEPITA CHUO CHA BIASHARA KITUO CHA DAR ES SALAAM (CBE) TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA ALIYEKUWA MWANAFUNZI MWENZETU BAHATI MWAKABUNGU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aysha Cheyo ndiye Miss Tanzania USA Pageant 2014

 Miss Tanzania USA Pageant wa 2013 Joy Kalemera akimvisha taji miss Tanzania USA pageant 2014 Aysha Cheyo siku ya Jumamosi Aug 31, 2014 Baada ya kunyakua taji hilo kwenye mashindano ya umiss...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC YAPATA UDHAMINI WA BENKI YA NMB

Na Fadha Kidevu BlogMABINGWA wa soka Tanzania bara wameingia mkataba wa miaka miwili na Benki ya NMB  jana Kwa mujibu wa Mweyekiti wa Azam Said Mohamed alisema mkataba huo utakuwa ikiisadia timu hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OKWI, BANDA WASAJILIWA TIMU MBILI-TFF

Na Fadha Kidevu BlogSHIRIKISHO la soka Tanzania TFF,limetoa majina ya wachezaji waliosajiliwa na timu 14 ambazo zinashiriki Ligi Kuu ya Tanzania bara huku majina ya wachezaji Emmanuel Okwi na Abdi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAINYOA 1-0 THIKA UNITED

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga raia wa Brazili Geilson Santana Santos 'Jaja aliwatoa wasiwasi mashabiki wa timu hiyo baada ya kufunga bao pekee lililoipa ushindi timu yake wakati ilipopambana na Thika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA NAKALA YAKO SASA YA MAGAZETI YA SERIKALI (TSN) LEO SEPTEMBA 4 2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA KUANZA MCHUJO WA WAGOMBEA WAKE LEO

 Mkurugenzi wa Organizesheni, Mafunzo na Uratibu wa Kanda wa Chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Singo Kigaila Benson akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati akitamngaza...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>