Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MKOANI PWANI LEO

$
0
0


Basi la Kampuni ya DAR EXPRESS lenye namba za usajili T 580CFP linalodaiwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Jiji la Nairobi nchini Kenya limepunduka hii leo asubuhi katika eneo la Wami Mkoani Pwani. 

Abiria kadhaa wamejeruhiwa katika ajali hiyo ambayo bado cxhanzo chake hakijajulikana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10590

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>