Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA 30 WA ALAT ULIOKUWA UANZE KESHO JIJINI TANGA WAAHIRISHWA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC NEWALA AZUNGUMZA NA WACHEZAJI WA TIMU YA PACHOTO SHOOTING STARS

Mkuu wa Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara, Christopher Magala akizungumza na wachezaji wa timu ya Pachoto Shooting Stars ambao ndio mabingwa wa ligi ya Mkoa wa Mtwara 2014. mazungumzo hayo yalifanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAPEWA SEMINA YA KUELIMISHA UTUNZAJI WA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Julius Ningu akifungua mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari juu ya utunzaji wa Mazingira na kuelekea maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIKI YA ELIMU MKOA WA DAR ES SALAAM YAFANA

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akiongea na wadau mbalimbali wa elimu wa mkoa wa Dar es salaam wakiwemo walimu wa shule za msingi na sekondari,wamiliki wa shule binafsi na wanafunzi wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASIA IDAROUS ATIKISA DUNIA NA VAZI LA TAIFA

Na Father Kidevu BlogMBUNIFU mkongwe wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin  kufuatia kufanya vizuri hivi karibuni katika  onyesho  kubwa la mavazi ya ubunifu lililokuwa maalum kwa  ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EU KUISAIDIA TANZANIA MSAADA WA SHILINGI BILIONI 134

 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacious Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHMAN KINANA AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU...

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa ujenzi wa Daraja la Mbutu kata ya Butu Wilayani Igunga Bw Christopher Makoye wakati alipokagua ujenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band ni moto wa kuotea mbali

Aneth kushaba(AK 47)akiiimba kwa hisia kali ndani ya kiwanja cha kijanja cha Thai Village akiwa na kikosi kamili cha Skylight Band.Wanamwita Sam Mapenzi mzee wa Sauti nyororoooo akipagawisha vilivyooo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS LAKONGA NYOYO ZA WAKAZI WA KANDA YA...

Baadhi ya washiriki kutoka Kanda ya Kusini wakiwa wamejitokeza katika usaili wa Kushiriki shindano la Tanzania Movie Talent katika Ukumbi wa Safari lounge uliopo Eneo la Maduka Makubwa, Mtwara Mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIYEYUSHO VS MOHAMED MATUMLA WAPIMA UZITO KUPIGANA MAY 10 JUMAMOSI P.T.A...

Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto na Mohamed Matumla wakitunishiana msuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba siku ya jumamosi ya may...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHISA WA CRDB WAFANYA SEMINA JIJINI ARUSHA KUELEKEA MKUTANO MKUU

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei akizungumza katika semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB ikiwa ni utangulizi wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Wanahisa utakaofanyika kesho (Mei 10) jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MKOANI PWANI LEO

Basi la Kampuni ya DAR EXPRESS lenye namba za usajili T 580CFP linalodaiwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Jiji la Nairobi nchini Kenya limepunduka hii leo asubuhi katika eneo la Wami...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA 11 WASHINDWA KUMLA NYATI DUME SERENGETI TANZANIA

Kundi la Simba likielekea katika mawindo yake baada ya kuona kundio la Nyati. Tukio hili lilijiri hivi karibuni katika Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania. Simba wakianza kujipanga kwaajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE-ARUSHA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa mada wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB uliofanyika jijini Arusha, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chibuku wazindua kinywaji kipya

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Dar Brew maarufu zaidi kama Chibuku, imezindua rasmi bia mpya ya asili ijulikanayo kama ‘Chibuku Super’, ambayo imewekwa katika chupa maalumu ambayo mteja anaweza kuondoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR YAZIZIMA KUFUATIA KIFO CHA BALOZI FLOSSIE GOMILE CHIDYAONGA

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Muungano na Utawala Bora), Mh. Mwinyi Haji Makame, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili kuhudhuria misa maalum ya kumwombea aliyekuwa Balozi wa...

View Article

TUJIKUMBUSHE SIKU YA MIAKA 50 YA MUUNGANO TAIFA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA WILAYANI UYUI

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahtubia wakazi wa Loya wilayani Uyui,Katibu Mkuu aliipongeza sana halmashauri ya wilaya kwa kujenga shule za sekondari 18 za kata. Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGAMIZA MAZALIA YA MBU WAAMBUKIZAO UGONJWA HATARI WA DEBGUE SASA

Mkoa wa Dar es salaam upo kwenye kampeni ya kupambana na Homa ya Dengue na ugonjwa unaoenezwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virus vya ugonjwa huu. Mbu ambaye hupatika zaidi muda ya mchana. Mtu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKAGUA MIRADI YA UJENZI WILAYA YA UYUI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua nyumba za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui ,Halmashauri ya wilaya ya Uyui imejenga nyumba nane kwa ajili ya watumishi wake. Katibu Mkuu wa...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>