Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

CATHERINE MAGIGE AWAJULIA HALI MAJERUHI WA BOMU ARUSHA

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM)  mkoa wa Arusha Catherine Magige akiwajulia hali baadhi ya majeruhi nane wa mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia jana katika mgahawa wa Vama Traditinal Indian Culture jijini Arusha.
 Miongoni mwa majeruhi hao wapo wanne wa familia moja ambao ni baba mama na watoto wao wawili ambao walijeruhiwa na bomu hilo huklu mmoja akikatwa mguu.
Majeruhi ambaye alikatwa mguu kushoto kutokana na mlipuko huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>