Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

SOMA HABARI ZA NISHATI NA MADINI NDANI YA NEWS BULLWETIN YAO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FATUMA MATULANGA WA TBC ALAMBA NONDO YAKE UANDISHI WA HABARI ZA BIASHARA...

Mwandishi wa habari wa Shirika la Utangangazi la Tanzania (TBC) Fatma Matulanga akiwa mwenye furaha baada ya kuhitimu shahada ya uzamili katika uandishi wa Habari za Biashara Kimataifa (Global Business...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF WAZIDI KUTOA HUDUMA SABASABA

 Afisa Mwandamizi wa Mfumo wa Taarifa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mariam I.Saleh, (Kushoto), akiwaeleza maafisa hawa wa polisi, kazi na huduma mbalimbalin zitolewazo na Mfuko huo, walipotembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA DALADALA TABATA MATUMBI

Daladala aina ya Toyota DCM lenye namba za usajili T344AHZ lifanyalo safari zake kati ya Mtoni Mtongani na Ubungo jijini Dar es Salaam likiwa limeharibika baada ya kugongana na Lori eneo la Tabata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI KUANZA ZIARA YA MIKOA YA MWANZA NA MARA JULAI 6 2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahojiano ya Kwanza Production na Diamond Platnumz baada ya tuzo za BET

Diamond Platnumz na DMK kwenye utoaji tuzo za BET Los Angeles Photo Credits: DMK Global Promotions' facebook pageKaribu katika mahojiano ya Kwanza Production na Damond Platnumz. Msanii mwenye mafanikio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KATIKA MAONESHO YA SABASABA LEO

Rais Jakaya Kikwete, akipatiwa maelezo na Meneja Mawasiliano, Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensehni wa PSPF, Costantina Martin, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonhyesho ya 38 ya biashara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kabaka atembelea sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akimpa maelezo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, wakati alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA UPASUKE NA KANSIIME LIVE JIJINI DAR ES SALAAAM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA CHALINZE

Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwania wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KABAKA ATEMBELEA BANDA LA NSSF MAONYESHO YA SABASABA

Mhe. Gaudentia Kabaka, Waziri wa Kazi na Ajira akipata ufafanuzi kuhusu mpango wa uchangiaji wa Wakulima na wachimbaji wadogo wa madini kutoka kwa Meneja Kiongozi Uhusiano na huduma kwa wateja Mrs...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MAGUFULI MKOANI MARA

WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKIKAGUA UJENZI WA MAKARAVATI YA DUARA (PIPE CULVERTS) KATIKA ENEO LA MKANDARASI WAZIRI WA UJENZIDKT. JOHN MAGUFULI AKISHUKA KUANZA UKAGUZI WA DARAJA LA KYARANO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JERRY SILAA AIFAGILIA METL GROUP KWA KUKUZA UCHUMI NA KUONGEZA AJIRA KWA WAZAWA

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (katikati) akipata maelezo ya sabuni mpya ya MO BEAUTY kutoka kwa Msaidizi wa Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Kelvin Msangi (kushoto) mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 25 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA...

 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni,Joseph Nicholous 9kushoto) akimkabidhi Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni,  ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AZINDUA KIVUKO KIPYA BUNDA

WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KATIKATI AKIKATA UTEPE KUASHIRIA  UZINDUZI WA KIVUKO KIPYA CHA MV MARA KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA  MAENEO YA IRAMBA BUNDA NA MAJITA MUSOMA VIJIJINI. KUTOKA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CATHERINE MAGIGE AWAJULIA HALI MAJERUHI WA BOMU ARUSHA

Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM)  mkoa wa Arusha Catherine Magige akiwajulia hali baadhi ya majeruhi nane wa mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia jana katika mgahawa wa Vama Traditinal Indian...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CCM MBEYA NDG.EMANUEL MBUZA AFARIKI DUNIA

MWANDISHI wa Habari wa Gazeti la HABARILEO, Bwana Osca Mbuza anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Emanuel Mbuza aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Wilaya ya Mbeya Mjini kilichotokea usiku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MAGIGE AHAIDI KUWAINUA KINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION

Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine Magige,akiwa na kikundi cha  akinamamalishe baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI NIMR NA END FUND WASHUHUDIA UPASUAJI WA MACHO SIHA-KILIMANJARO

 MKURUGENZI  Mkuu wa Taasisi ya Utafiti  wa Magonjwa ya Binadamu (NIMRI), Dk. Mwele Malecela akiwa na Mratibu wa Taifa wa Magonjwa yasiyopewa kipaumbele kutoka Wizara ya Afrya na Ustawi wa Jamii Upendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE...

Mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishiriki  kubeba  nguzo Vijana  wakishirikiana na mbunge  wao kubeba nguzo za umeme jitihada za kupeleka  umeme  Lupingu  zikionekana Mbunge wa jimbo la...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live