Quantcast
Channel: Father Kidevu
Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

WANACHUO MAGOGONI WATINGA BUNGENI KWA ZIARA YA KIMAFUNZO

$
0
0
 Wanachuo wapatao 115 kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Magogoni Dar es Salaam leo wamefanya zira ya kiamsomo Bungeni mjini Dodoma. Wanachuo hao pia walikutana na wenzao wengime kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Mtwara wapatao 50 ambao nao wamekuja Bungeni kimafunzo.
 wanafunzi hao wakifuatilia shughuli za Bunge.
 Wakiwa wametulia mjemgoni
Kila mmoja alikuwa makini kujifunza nini Wabunge na Spika anafanya awapo Bungeni. Hawa ni watunza kumbukumbu na makatibu muktasi. Lakini pia zipo fani nyingine nyine wanazojifunza.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 10588

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>