MBUNGE MGIMWA ACHEZA DRAFT MTAANI JIMBONI KWAKE
Mkazi wa Kiponzero Yohanes Chotelo akicheza bao na mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa aliyefika kijijini hapo kuchangia maendeleo ya shule ya Msingi Kiponzero.
View ArticleWANANCHI DODOMA WAUA JAMBAZI
Jambazi mmoja auawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh.2,100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma...
View ArticleMATOLA: SIMBA TUMEREKEBISHA MAKOSA USHINDI NI LAZIMA
Na Fadher Kidevu BlogKOCHA msaidizi wa Simba Selemani Matola,amesema wamerekebisha mapungufu yaliyokuwepo kwenye safu yao ya ulinzi na anauhakika watapata ushindi Jumamosi wakati watakapo pambana na...
View ArticleTANZANIA YAWA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA KWANZA WA UMOJA WA VYUO VYA USAFIRI WA...
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi , Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Mbwana . J. Mbwana (Kulia)akisalimiana na Rais wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika(AATO) Tchagbele Sadamba...
View ArticleNSSF YACHANGIA VIFAA VYA ICU HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Jumanne Mbepo (kulia), akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 20 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Marina...
View ArticleKLABU LAZIMA ZIKATWE: MALINZI
Na Fadher Kidevu BlogRais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema ni lazima klabu zikatwe fedha zao za udhamini.TFF iliagiza klabu zote 14 za Ligi Kuu Bara, zikatwe fedha zao za...
View ArticleRAIS KIKWETE AHUTUBIA KIKAO CHA KAZI KWA VIONGOZI WA MIKOA< WILAYA NA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubuia Kikao cha KAzi kwa Viongozi wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri katika ukumbi wa Chimwaga Chuo Kikuu cha Dodoma leo Oktoba 2, 2014
View ArticleRAIS KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI DAR LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Maonyesho ya Kimataifa ya Utalii "Swahili International Tourism Expo (SITE)" kwenye Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam leo...
View ArticleKLABU LIGI KUU ZAGOMEA MAKATO YA 5% ZA WADHAMINI
Na Fadher Kidevu BlogKLABU 14 zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara zimetishia kutotumia jezi zenye nembo ya mdhamini mkuu wa ligi ambaye ni Vodacom pamoja na matangazo ya moja kwa moja ya Azam...
View ArticleMISS UNIVERSE TANZANIA 2011 NELLY KAMWELU ENROLLS AT THE NEW YORK FILM ACADEMY
Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu is in New York and has started her studied in acting at the New York Film Academy . New York Film Academy-School of Film and Acting (NYFA) is a for-profit...
View ArticleKINANA AWASILI TANGA MJINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivuka na kivuko cha MV.Pangani kuelekea Wilaya ya Tanga mjini ambapo anatazamiwa kukagua miradi mbali mbali na kushiriki ujenzi wa maendeleo,wengine...
View ArticleNSSF FURSA SEMINA DODOMA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ
Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (wa kwanza kulia), Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Kirondera Nyabuyenze (wa pili kulia) na...
View ArticleKATIBU MKUU KIONGOZI APATA NAKALA YA KITABU CHA NYAYO ZA OBAMA
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akipokea nakala ya kiswahili na kiingeraza ya kitabu cha nyayo za Obama kutoka mwandishi wa kitabu hicho Mzee Safari Ohumay kwenye siku ya Jumamosi Oct 4, 2014...
View ArticleRAIS KIKWETE AKUTANA NA MENEJIMENTI YA BENKI YA NBC IKULU DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Menejimenti ya Barclays Africa, Bi. Mizinga Melu (wa tatu kushoto) alipokwenda kumuaga Ikulu, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni...
View ArticleJK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Leonidas Gama aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam leo Rais Jakaya Mrisho...
View ArticleKOMBE LA DUNIA LACHANGIA KUSHUKA KWA WATALII WAPANDA MLIMA KILIMANJARO
Mhifadhi wa Utalii waHifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Eva Mallya akizungumza katika ziara ya waandishi wa habari kutoka Arusha walikwenda kutembeleahifadhi hiyo na kujionea shughuli...
View ArticleLOWASA AWAKEMEA KUUZA ARDHI, NAMELOKI AGAWA BAISKELI 100 MONDULI
Waziri mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akihutubia semina ya ardhi wilayani Monduli jana katika hoteli ya Emanyata ambapo alisema kuuza ardhi ni sawa na kuuza utajiri na kununua...
View ArticleBiswalo Mganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka mpya
Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Biswalo Mganga (pichani katikati) kuwa kurugenzi wa Mashitaka (DPP) nchini.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es...
View Article