Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MKOANI MOROGORO

 Baadhi ya watu wakiwa wanafuatilia mashindano hayo ya SHIMIWI yanayo endelea Mjini Morogoro katika uwanja wa Jamuhuri   Baadhi ya wachezaji wa Timu ya Netball wakiwa wanajiandaa na Mchezo wao  Afisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKANDARASI UMEME WASIOWAJIBIKA KUNYANG’ANYWA TENDA

 Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Meza Kuu-Katikati), akizungumza na wawakilishi wa Kampuni mbalimbali zinazohusika kusambaza umeme vijijini kutoka India, China na Sri Lanka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA JAPAN ZIARANI WILAYANI MONDULI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akimkaribisha wilayani Monduli Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh.  Masaki Okada wakati alipowasili wilayani humo jana Jumapili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE KUFUNGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA KESHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge- Tegeta utakaofanyika tarehe 1 Oktoba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YATOA FURSA KWA WAKAZI WA MBEYA NA SONGEA

 Afisa Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ally Mkulemba akitoa mada katika semina ya Fursa kuhusuElimu ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi na kuwahamasisha wajiunge na mfuko huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasiasa wakongwe wa Kenya wamtembelea Lowassa Monduli

Waziri mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa(kulia)akiwakaribisha mawaziri wa zamani wa Kenya  William ole Ntimama(tai nyekundu) na John Keen(kushoto) nyumbani kwake Monduli. Wanasiasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEREVA WA MABASI HAWAJUI KUSOMA ALAMA ZA BARABARA

Unaweza kusema madereva wengi wa mabasi makubwa hawajui kusoma alama za barabara au wanakiburi, zaidi ya kuhofia tu uwepo wa askari wa usalama barabnarani humo walio na tochi. Ona dereva wa basi hili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA GIZ.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akitoa tamko kuhusu  Siku ya Soko la Afya  iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la GIZ , itakayofanyika Oktoba 2...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AFANYA ZIARA BUMBULI KWA MAKAMBA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi wa kata ya Mbuzii (hawapo pichani).Katibu Mkuu leo alianza ziara yake katika kata ya Mbuzii ambapo alishiriki ujenzi wa ofisi ya chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA...

 Jenerali Ulimwenguambaye ndiye mwezeshaji  akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMMY DIMPOZ KUSINDIKIZA REDD'S MISS TANZANIA TALENT SHOW OKTOBA 3 NEW MAISHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA HABARI ZANZIBAR AFANYA ZIARA MAKAO MAKUU YA DW UJERUMANI

waziri na ujumbe wake wakioneshwa studio za kurushia matangazo za dw-kiswahili.picha ya 4. Waziri Said Ali Mabrouk na ujumbe wake wakipata maelezo mafupi kuhusu DW kutoka kwa Naibu Mkuu wa Idhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEREMETA NA HASSANALI NDANI YA ZIMBABWE

MEREMETA NA HASSANALI launched in Harare on 26 Sept at the Zimbabwe Fashion Week regards

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NOOIJ AITA 26 TAIFA STARS KUIKABILI BENIN OKTOBA 12

Na Fadher Kidevu BlogKOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mart Nooij ameita kikos cha wachezaji 26  kwa ajili  ya mechi ya kirafiki iliyopo kwenye Kalenda ya Shirikisho la Kimataifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAXIMO APATA AHUENI BAADA YA OSCAR JOSHUA KUANZA KUJIFUA

Na Fadher Kidevu BlogKOCHA wa Yanga, Marcio Maximo  ameanza kupata ahueni baada ya beki wa kushoto Oscar Joshua kuanza mazoezi mepesi mepesi leo kufuatia kuumia nyama za paja kwenye mchezo dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUSI AKUTANA NA WANAMSUMBIJI WA ZANZIBAR

 Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO Mh.Filipe Nyusi akipokea zawadi kutoka kwa Jumuiya ya watu wa Msumbiji wanaoishi Zanzibar.Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIUNGO COAST UNION ATAMBA YEYE NI ZAIDI YA NIYOZIMA NA KWIZERA

Rama Salim (kushoto) akiwania mpira na Emmanuel Okwi wa Simba.Na Fadher Kidevu BlogKIUNGO wa Coastal Union  Mkenya Rama Salim amesema yeye ni zaidi ya Haruna Niyonzima na Pierre Kwizera wanaochezea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL YAIMWAGIA TASWA MILIONI 20 KUANDAA TUZO ZA WANAMICHEZO

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Sigh Seth (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 20 kwa Mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW SONG: METTY ft CONRAD - NAJUA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Masaki Okada  wakifungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta  leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>