Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YADHAMINI MICHUANO YA GOLF YA NYERERE MASTER

Mkuu wa huduma za Kibenki kwa Wafanyabiashara wakubwa wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 19.4 kwa Rais wa Golf Tanzania, Joseph Tango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA.

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akitoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Septemba, 2014 leo jijini Dar es salaam. Kulia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AFANYA ZIARA KILOLO

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Kilolo Mnadani waliojitokeza kumlaki katika ziara yake wilayani Kilolo.MBUNGE wa jimbo la Kilolo mkoani Iringa Profesa Peter Msolla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA RASIMU YA MWISHO YA KATIBA...

 Mwenyekiti wa Bunge maalum la katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC WAMKARIBISHA BALOZI OMBENI SEFUE KWA...

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akimpokea Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue siku ya Jumatano Oct 8, 2014 siku Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARTIMES YAFUNGUA DUKA JIPYA MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Startimes Tanzania, Lanfang Liao (katikati), akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka hilo. Wanashuhudia kulia ni  Mkurugenzi wa Oparesheni  wa Kampuni hiyo, Geng Jlan Xun na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Kuaga mwili wa Marehemu Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume...

 Marehemu Meja Jenerali Muhidini Mfaume Kimario 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KENYATTA APOKEWA KWA SHANGWE NAIROBI

Makundi ya watu wanaoshangilia, yamempokea Rais Uhuru Kenyatta ambaye amerejea Kenya baada ya kuhudhuria Mahakama ya Kimataifa ICC, iliyopo The Hague.Bwana Kenyatta alihudhuria shauri mahakamani siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI OKTOBA 9-2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Mkoma, akizungumza katika mkutano huo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,  Sayansi na Teknolojia, Profesa Patrick Makungu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GREEN WASTE PRO LTD YAKABIDHI MAKASHA YA KUHIFADHIA TAKA SHULE YA MSINGI BUNGE

Meneja wa uendeshaji wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd, Abdallah Mbena akikabidhi rasmi moja kati ya makasha matatu ya kuhifadhia taka yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mwalimu wa klabu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA ZANZIBAR APOKELEWA KWA SHANGWE

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA) - Zanzibar,Bw. Salumu Mwalimu (kulia) akikabidhiwa vifaa vya ofisi kutoka kwa mtangulizi wake,Bw. Hamad Yusuf (kushoto) wakati wa hafla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRAFIKI 'MAHABA' WA JESHI LA POLISI WATIMULIWA KAZI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amref Health Africa Tanzania yachangisha sh.bilioni 1.9 kusomesha wakunga

Makamu wa Rais Dk.Mohammed Gharib Bilal akihutubia katika hafla ya chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangia mfuko wa kampeni ya Jitolee kwa ajili ya akina mama wa Afrika iliyofanyika Oktoba-9-2014...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAUZA VIWANJA VILIVYOPIMWA KILUVYA 'A' KISARAWE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKIUWA WANAWAKE ARUSHA LAUWAWA NA POLISI WANANCHI...

picha ya juu na chini  wananchi wa jiji la Arusha  waliojitokeza kuuangalia mwili wa  jambazi huyo atari aliowawa na polisi usiku wa kuamkia leo mwili wa Jambazi hilo ukiwa umelazwa ndani ya gari la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YATOA MIEMVULI KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WENYE ULEMAVU TANZANIA

BAADHI YA VONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WENYE  ULEMAVU TANZANIA WAKIMSIKILIZA KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO ENG NAZIR KACHWAMBA HAYUKO KWENYE PICHA WAKATI WA HAFLA YA MAKABIDHIANO YA MSAADA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA,NAPE WASHIRIKI UCHUMAJI WA MAJANI YA CHAI MUFINDI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia0 na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakichuma majani ya chai katika shamba la Unilver, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC) CHAENDELEA KUIPINGA ADHABU YA KIFO

  Mkurugenzi Mtendaji  wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba. Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio (kulia) akizungumza katika mkutano huo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA DK. WILLIAM SHIJA WAWASILI NCHINI HII LEO

 Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola (CPA), Dk William Ferdinand Shija umewasili nchini leo ikiwa ni siku saba tangu afikwe na umauti Oktoba 4, 2014. Shija aliyezaliwa Aprili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUKUMU YA SHAURI LA MNDUMBARO KUJULIKANA JUMATATU

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo (Oktoba 11 mwaka huu) imesikiliza malalamiko yaliyowasilishwa mbele yake dhidi ya Dk. Damas Ndumbaro.Shauri hilo limesikilizwa na...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>