Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika
Meneja wa Uwanja wa ndege wa Mpanda, Mkoa wa Katavi Seneti Lyatuu akiwaonesha timu ya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mpanda. Nyuma...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA MAZINGIRA YAKUTANA NA WIZARA YA MAZINGIRA OFISI YA MAKAMU...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge (wapili kushoto), akizungumza na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira,...
View ArticleNEC KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), pia na Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahamoud Hamid(kushoto) akisoma taarifa kuhusu kuanza kwa shughuli za Uboreshaji wa Daftari la...
View ArticleMBWEMBWE ZA STAND UNITED
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na...
View ArticleCHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI NA NLD VYA TILIANA SAINI MAKUBALIANO YA...
Viongozi wa juu wa vyama vinne vya siasa nchini Tanzania vimeingia makubaliano ya ushirikiano wa shughuli mbalimbali za siasa hii leo na miongoni mwa mambo hayo ni kusimamisha wagombea wa pamoja...
View ArticleMROKI AJIPIGA RISASI NA KUFA ARUSHA
MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36)...
View ArticleUTT YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAKAZI WA MBEYA
Wakazi wa Mbeya wakipata Elimu ya Uwekezaji wa Pamoja kutoka kwa Ofisa Mafunzo wa UTT AMIS, Hilda Lyimo wakati wa Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara yaliyofanyika Mbeya. Ofisa Mafunzo wa UTT AMIS,...
View ArticleJotoardhi kichocheo cha Uchumi - RC
Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela akiongea jambo wakati akifungua rasmi mafunzo ya siku mbili kuhusu masuala ya jotoardhi kwa washirki kutoka nchi zilizo katika bonde la Ufa . Mafunzo hayo...
View ArticleMambo yazidi kuiva Karibu Music Festival
Msemaji wa tamasha la Karibu Music Festival, MAuslim Nassor ‘Jazzphaa’ (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo. Mwanamuziki wa Msafiri Zawose anayepiga...
View ArticleWAREMBO WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 WAANZA KAMBI
Warembo wa Miss Universe Tanzania 2014 wameanza rasmi kambi katika hoteli yenye hadhi ya kipekee Golden Tulip Hotel. Hii ni kwa ajili ya kujiandaa na fainali ya Miss Universe Tanzania 2014...
View ArticleBEN KIKO AFARIKI DUNIA
Mtangazaji wa zamani wa Radio Tanzania Dar es salaam(RTD) ambayo sasa ni TBC Taifa, Ben Hamis Kikoromo au maarufu Ben Kiko (pichani) amefariki duania.Mwandishi huyo mkongwe nchini Ben Kiko amefariki...
View ArticleRais Guy Scott wa Zambia; jaribio lingine kwa wahafidhina wa Afrika
Alipochaguliwa Barack Obama kuwa rais wa taifa kubwa zaidi duniani Marekani, waafrika alifurahishwa na hali hiyo huku wakichagiza kuwa hiyo ilikuwa ni silaha dhidi ya ubaguzi kwa waafrika.Obama ambaye...
View ArticleTABATA FC YAINGIA ROBO FAINALI YA LIGI YA DK. MWAKA SPORTS EXTRA NDONDO BAADA...
Wachezaji wa timu za Boom FC na Vijana ya Ilala wakisalimiana kabla ya mchezo wao wa hatua ya 16 Bora ya michuano ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...
View ArticleCCM YATOA PONGEZI KWA FRELIMO KWA USHINDI KATIKA UCHAGUZI MSUMBIJI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,makao makuu ya Chama Ofisi Ndogo Lumumba jijini Dar es Salaam.
View ArticleMAKOCHA 35 KUSHIRIKI KOZI YA LESENI C YA CAF
Makocha 35 wameteuliwa kushiriki kozi ya ukocha ya Leseni C ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itakayofanyika mjini Morogoro kuanzia Novemba 5 hadi 19 mwaka huu.Kozi hiyo itaendeshwa na...
View ArticleBARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji, Dk Anacleti Kashuliza (wa pili kulia) akiweka saini makubaliano ya ushirikiano kati ya FCDL na TAWOFE katika kuboresha utengenezaji wa samani nchini....
View ArticleUN YAOKOA MAISHA YA WATOTO 3000 ZANZIBAR
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akielezea kufurahishwa kwake na Serikali Tanzania kwa kupigia hatua...
View Article