Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUNDENGA AZUNGUMZIA UTATA WA UMRI WA MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano  ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (wapili kushoto) akifafanua kwa waandishi wa habari juu ya sakata la umri Miss Tanzania 2014,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yazindua wiki ya Rasilimali watu

 Mkurugenzi wa Kitengo cha Rasilimali watu Airtel  Tanzania Patric Foya akiongea wakati wa zinduzi wa wiki ya Rasimali watu uliofanyika  katika Ofisi za makao makuu ya  Airtel ambapo wafanyakazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRITORIUS JELA MIAKA 5 KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII WA BONGO FLEVA YP AFARIKI DUNIA

Msanii 'YP' toka kundi la TMK Wanaume Family amefariki dunia jana usiku katika hospitali ya Temeke ambako alikuwa akipatiwa matibabu akisumbiliwa na kifua kwa muda mrefu lakini hali ilikuwa mbaya...

View Article

PATA NGOMA TANO ALIZOSHIRIKI MAREHEMU YP ENZI ZA UHAI WAKE

Umewaona - YP na Y DashKICHWA KINAUMA- TMK WANAUME FAMILYDAR MPAKA MORO- TMK WANAUME FAMILY TMK WANAUME FAMILY-UMRI YP na Y DASH- PUMZIKA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA CHINA WAFANYA PAMOJA MAZOEZI YA KIJESHI

Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoeziMkuu wa operesheni na utendaji kivita wa JWTZ, Meja Jenerali James Mwakibolwa, (Wapili kulia), akitazama silaha ya kivita, wakati wa maonyesho ya zana za kijeshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MABIBO BEER WINES AND SPIRITS LIMITED YASISITIZA UTII WA SHERIA...

 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited, James Rugemalira  (kushoto), akigongeana glasi na wakili maarufu wa kampuni hiyo, Michael Ngalo.   Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA TOYOTA KLUGER INAUZWA

 MODEL NI YA MWAKA 2002 TOYOTA KLUGERUWEZO WA ENGINE NI 2360 CCIMETEMBEA KILOMITA 170000BEI NI MILIONI 17 MAELEWANO YAPO MAWASILIANO NI 0713242888

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COMPRESSOR INAUZWA

Compressor zipo mbili, model ni Ingersolrand 7/4, 4cylinder diesel engine , year 2005Kwa wanaohitaji wasiliana na 0655 598773

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA WANAWAKE NA MAENDELEO (WAMA) YAKABIDHI MAJENGO YA MADARASA SHULE...

 Sehemu ya majengo yaliyokabidhiwa kwa Naibu Waziri Tamisemi,Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti WAMA Zakia Meghji (hawapo pichani)  Naibu Waziri Tamisemi,Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti WAMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Y P AZIKWA

 Marehemu Yesaya Ambikile Mwakalekamo 'YP' amezikwa hii leo katika makaburi ya Changombe jijini Dar es salaam.Marehemu YP alifariki jana baada ya kuugua kifua na kulazwa katika Hospitali ya Temeke hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFUNGUZI RASMI WA ALBAM YA CHUKI YA NINI KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA ARCADE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWEDEN YATOA BIL. 42/- KUSAIDIA MIRADI UN

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker (kulia) na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro...

View Article


KANUNI ZA SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUNUKIWA UPROFESA NCHINI CHINA

 Rais Jakaya Kikwete akitunukiwa uprofesa wa heshima kutoka Chuo Kikuu cah Kilimo China jijini Beijing. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Jiang Peimin na kulia ni Rais wa Chuo hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YATOA ELIMU KWA WAJUMBE WA IDARA YA UTUMISHI WA WALIMU NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAJI LA MISS TANZANIA 2014 KUUNDIWA TUME

Mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu huenda akavuliwa taji hilo kama serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza lake la Sanaa la Taifa ambalo ndio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBWA WAMEPOTEA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu watembelea nyumba za PSPF zilizopo...

 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, (Kushoto), akizungumza na baadhi ya wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu, kwenye eneo la mradi wa nyumba za Mfuko huo eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI MAZINGIRA UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA MASOKO YA TANDALE NA TEMEKE...

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu (katikati)  akiwa katika ziara kukagua soko la Temeke la Stereo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke Protidas Kagimbo....

View Article
Browsing all 10758 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>