Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI DAR WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWAIR

 Ilikuwa ni simanzi kwawale hasa waliokuwa wakipata Burudani kutoka kwa Albert Mangwair na hakika aliyethibitisha kwa kuona kuwa sasa amelala na hainuki hadi Masiha atakapo rudi walishindwa kujizuia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Redds Miss Sinza 2013 inatisha- Lundenga

Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim “Uncle” Lundenga  akisisitiza jambo na kwa warembo wa Redds Miss Sinza 2013  alipotembelea kambi ya mazoezi hayo. Warembo hao watapanda jukwaani Ijumaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YANGARA KILELE SIKU YA MAZINGIRA DAR

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akimkabidhi tuzo Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu baada ya kampuni hiyo kuibuka mshindi wa kwanza kwa kusaidia utunzaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awatunuku Nishani Askari 29 wa Magereza kanda ya Nyanda za Juu...

Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja  Akikagua Gwaride maalum lililoandaliwa na maaskari wa Jeshi la Magereza kwa ajili yake mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA KIKOMUNIST​I CHA VIATNAM WATUA DAR ASUBUHI HII

 Balozi wa Vietnam Tanzania, NguyenThien akimtambulisha Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Uhusiano wa Kimataifa wa Chama Cha Kimomunisti Cha Viatnam (CPV), Hoang Binh Quan kwa katibu Mkuu wa Umoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALKIA WA TAARAB HADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE LEO

 Jafari Ally enzi za uhai wake akiwa na mkewe Malkia wa Mipasho nchini Tanzania, Khadija Omar Kopa wakifuatilia onesho la Mshauzi Classic ndani ya Mango Garden. Habari zilizoufiki mtandao huu hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WA BODI YA NHIF WAFANYA ZIARA MAKAO MAKUU

Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana walifanya ziara katika ofisi za Makao Makuu ya Mfuko huo kwa lengo la kutembelea ofisi hizo na kuangalia mazingira ya kazi.  Wajumbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KURA YAKO NI MUHIMU KWA FEZA KESSY ILI ABAKI BIG BROTHER

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADIJA KOPA NI KILIO BAADA YA KUPOKEA TAARIFA ZA KIFO CHA MUMEWE

Baadhi ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza kuapanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija Omar Kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFRICA BARIC GOLD WAIMWAGIA FEDHA REDD'S MISS MARA 2013

Ofisa kutoka kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano wa Barrick Gold Mining Fatuma Mssumi akimkabidhi Kaimu Ofisa Tawala wa Mkoa wa Mara mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi milioni 10, ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA YATWAA UBIGWA NA KUING`ARISHA AFRIKA MASHARIKI PAN-AFRICAN GUINNESS...

Haijawai kutokea mpambano mkali katika GUINNESS® FOOTBALL CHALLENGE kama  uliooneshwa jana katika fainali za mchuano Pan-African Guinness Football Challenge kupitia televisheni  za ITV na Clouds TV...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wengi wajitokeza kwenye usaliji wa Airtel Rising Stars

USAJILI wa timu za mikoa inayoshiriki mashindano ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars mwaka huu umekuwa na mwitikio mkubwa miongoni mwa vijana wa umri huo katika mikoa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA YA MILELE YA ALBERT MANGWEHA

 Hili ndilo kaburi la Msanii Albert Mangweha aliyefariki ghafla Mei 28, mwaka huu nchini Afrika Kusini na kuzika leo Kihonda mkoani Morogoro.  M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATEMBEZI BARCLAYS YA Step Ahead Walk 2013 KUFANYIKA TAREHE 08 JUNE, 2013

Kila mwaka Benki ya Barclays inaandaa matembezi ya kuchangisha fedha yaliyobatizwa kwa jina la Step Ahead Walk. Mchakato huu umekuwa ukiendelea toka mwaka 2006 na Tanzania walifanya Step Ahead yao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGUMI KUPIGWA SIKU YA TAMASHA LA MATUMAINI

Bondia Thomas Mashali (kulia) akitia saini ya dole gumba kwenye mkataba wa kupambana kwa ajili ya kuchangia elimu siku ya Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Julai 7, mwaka huu katika uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYATTA AONGOZA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MAWAZIRI KENYA

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta leo ameongoza kikao cha kwanza cha baraza lake jipya la Mawaziri na kuwataka mawaziri hao kufanya kazi zao ipasavyo na kutimiza ahadi za serikali ilizoahidi wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIBU LINAHITAJIKA HAPA .....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA MNAISAIDIAJE FAMILIA YA NGWEAIR KWA MAHARAMIA HAWA

Ikiwa ni takribani siku kumi tu tangu mauti yamfike Msanii Albert Mangweha a.k.a Mimi tayari CD na VCD za kazi zake zimeanza kuuzwa mitaani kama njugu hasa katika maeneo mbalimbali ya mikusanyiko na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POULSEN: MOROCCO INAFUNGIKA KWAO

Na Mwandishi Maalumu,Marrkech, MoroccoHuku Timu ya Taifa Taifa Stars ikikabiliwa na mechi muhimu kesho (Jumamosi) dhidi ya Morocco kusaka tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Kocha Kim Poulsen...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO WATATU BORA WA REDD'S MISS TANZANIA 2012 KUVULIWA MATAJI YAO LEO

Redd's Miss Tanzania, Brigitte Alfred  (katikati) akiwa sambamba na Mshindi wa Pili wa Taji hilo Eugenia Fabian (kushoto) na Edna Sylvester wakati warembo hao walipo twaa nafasi tatu za juu za Redd's...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live