Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAKALAAWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI

Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makala akiongea na vyombo vya habaria katika ziara yake ya kikazi jijini hapa kwa lengo la kutembelea miradi ya maji iliyokuwa na changamoto kubwa ya upotevu wa maji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARCIO MAXIMO ATUPIWA VIRAGO YANGA NI BAADA YA KICHAPO CHA 2-0 KUTOKA SIMBA

YANGA SC imeirejea historia yake ya kuwatimia makocha wake muda mfupi tu baada ya kula kichapo kutoka kwa watani zao Simba ambapo tayari uongozi wa Yanga umelivunja benchi la ufundi la timu hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INGE KUWA WEWE HAPO UNGEFANYAJE!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FURAHA YA USHINDI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA JIJINI DAR

 Vijana wakazi wa Kata ya Mwananyamala, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakibandua picha za wagombea baada ya kumalizika kwa uchaguzi kama walivyokutwa katika eneo la Msisiri ambapo mgombea wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE NAUYE AZUNGUMZIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MTAA NCHINI AUNGA MKONO...

Katibu wa NEC ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya uchaguzi wa Serikali za mtaa uliofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAGUZI WA MIGODI WAPIGWA DARASA

Baadhi ya Wakaguzi wa Madini kutoka mikoa mbalimbali nchini, wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (Kamishna Msaidizi wa Madini -Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa kikao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAFARIJI FAMILIA YA MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA...

 Mdogo wa Mwisho wa akina Mwaibale Ambwene  akitoa salam za Mwisho kwa Marehemu mama yake  Dada Mkubwa wa akina Mwaibale Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi  wa Skauti Shughuli za Vijana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marehemu Shem Ibrahim Kalenga azikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu,jijini Dar

 Jeneza lenye Mwili wa aliewahi kuwa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Marehemu Shem Ibrahim Kalenga ukiwasili kwenye Makaburi ya Kisutu,Jijini Dar es Salaam tayari kwa safari yake ya mwisho.Marehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA ZILIZOTOLEWA NA...

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Bw. Khamis Mdee wa pili kutoka kulia akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya mfuko huo wakati walipoonyesha tuzo ambazo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEREMA AJIUZULU NAFASI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu wadhifa wake kuanzia hii leo.Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu iliyotolewa jana na Mkurugenzi wake, Salva Rweyemamu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YANAANZA.

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA

Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA TWITIKEGE MLAGHA AZIKWA KIJIJINI KWAKE KIKUMBE, RUNGWE MKOANI MBEYA LEO

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wakeMwili wa Marehemu Twitikege Mlagha Mafumu ukiifadhiwa katika nyumba yake ya Milele katika  kijiji cha Kibumbe,Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya leo Ndugu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNENGUAJI AISHA MADINDA AFARIKI GHAFLA

 Aisha Madinda enzi za uhai wakeTASNIA ya sanaa imezidi kupata majozi baada ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za African Stars 'Twanga Pepeta' na Extra Bongo, Aisha Mohammed Mbegu 'Aisha Madinda'...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRATIBU MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA AKUTANA NA RC ARUSHA

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akimpongeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyeteuliwa hivi karibuni,...

View Article


JIZAWADIE SMARTPHONE TOKA AIRTEL LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2015 HADHARANI

Naibu Waziri –Elimu Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI,Kassim Majaliwa (katikati) akizungumza na waandishi Dar es Salaam jana kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha kwanza mwaka 2015.Majina ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibaijuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi  ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.  Akizungumza  na Waandishi na Habari mapema leo jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WATEMBELEA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA IDETE MKOANI...

Wafungwa wa Gereza Idete wakilima shamba kwa kutumia trekta kama inavyoonekana katika picha. Wafungwa hao wamepatiwa ujuzi wa kulima na trekta wakiwa gerezani ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Programu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE ATUNUKIWA UDAKTARI WA HESHIMA WA CHUO KIKUU CHA NELSON MANDELA

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Dkt.Mohamed Gharib Bilal akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Digrii ya uzamivu ya Heshima (PHD Honoris Causa) wakati wa mahafali ya pili ya chuo hicho...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live