Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

KILICHO JIRI KATIKA MAANDAMANO YA CUF NA KUKAMATWA KWA LIPUMBA NA WANACHAMA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUASI 30 WA CHAMA CHA CUF WATINGA MAHAKAMANI HII LEO

Wanachama 30 wa Chama cha Wananchi CUF, leo wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu yanayo wakibili.Washitakiwa hao waliofikishwa mbele ya Hakimu Mkazi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAUTI ZA BUSARA WAMTAMBULISHA RASMI ALI KIBA

Msanii wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba akiimba akapela moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano huo na wandishi wa habari (Hawapo pichani), katika mkutano huo juu ya ushiriki wake kwenye tamasha hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatoa msaada wa Vitabu shule ya Secondary Nanj Monduli,Arusha

Meneja Mauzo wa Airtel Kanda ya Kaskazini Brighthon Majwala akikabithi vitabu kwa Afisa Elimu wa shule za sekondari halimashauri ya Monduli Bwana Shaban Kasim Mgunya kwaajili ya shule ya sekondari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akifurahia jambo  na Mbunge wa Viti Maalumu, Zainabu Vullu katika viwanja vya bunge  walipohudhuria kikao cha pili cha mkutano wa 18 wa Bunge...

View Article


SOMA JARIDA LA WIKI HII TOLEO LA 52 LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Temeke mabingwa Wa Proin Women Taifa Cup

Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo, Mh Dkt Femella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi wakati wa fainali ya Mashindano ya Proin Women Taifa Cup...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 38 YA CCM MJINI SONGEA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM ambapo kitaifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA IRINGA WAMCHANGIA FEDHA FRANK KIBIKI ZA KUCHUKULIA FOMU YA UBUNGE...

Kibiki akibadilishana mawazo na mmoja wa wanachama wa tujiwezeshe cha kituo kikuu cha mabasi mjini Iringa Katibu wa kikundi cha tujiwezeshe chenye wanachama zaidi ya 560, wa kituo kikuu cha mabasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF

Mgeni rasmi Hamad Rashid ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Wawi kupitia CUF akizunguza na wanafunzi walioudhuria kwenye siku ya Career Day iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Biashara (CBE) jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALI WA MAPENZI VALENTINE'S DAY DAR LIVE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA MIAKA MITATU JELA

 Mwanamasumbwi maarufu Francis Cheka akiwa chini ya ulinzi wa Polisi baada ya kuhukumu ya miaka 3 jela.  Akikwea gari la polisiBONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini aliyewahi kuwa Bingwa wa Dunia wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI DODOMA HII LEO

      Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akijibu maswali wakati wa kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni leo.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITA ZIDI YA UJANGILI VIMEZAA MATUNDA : KAMATI YA BUNGE

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira James Lembeli akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Kazi za Kamati yake kwa Kipindi cha Mwaka 2014, Bungeni mjini Dodoma. Hussein...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRFA,YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake,baada ya kuifunga Pwani kwa bao 1-0,kwenye mchezo wa fainali uliopigwa jumapili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AKARIBISHWA IKULU NA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

 Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha mgeni wake Ikulu Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck ambaye ameongozana na mke wake Bibi schadt leo tarehe.03.02.2015 Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wa Airtel kushinda gari Moja Kila Siku

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, Levi Nyakundi (kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Beatrice Singano Mallya (kulia) wakionyesha kipeperushi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Maria Bilia akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya wadadisi 200 wa Sensa ya Viwanda itayofanyika nchi nzima  mwezi huu. Mafunzo hayo yanafanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

 Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiuliza swali wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma. Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhandishi Athumani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM,...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>