Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRINDOKO KUJITOSA UBUNGE MOSHI MJINI

DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA  JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhaiWaheshimiwa Mabibi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO ZA RAIS KWA MAKAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (wapili kulia), akimkabidhi tuzo, Makamu wa Rais wa kampuni ya Acacia, (Anayeshughulikia kampuni), Deo Mwanyika, baada ya mgodi wa dhahabu wa North Mara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DSE WANUNUA OFISI JENGO LA NHC MOROCCO SQUARE

Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini...

View Article

SOPHIA BY BEN PAUL

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN).

Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network' - TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24

Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la 'Usiku wa Mswahili' kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA MALARIA DUNIANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo

Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEREKALI YAONYA WANAOTOROSHA MADINI

Mmoja wa wakurugenzi wa  kampuni ya Tanzanite one Hussein Gonga akiwa anamuonyesha  Waziri wa nishati na majini George  Simbachawene madini ambayo yanachibwa na kampuni yao.  Na Woinde Shizza,Arusha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU 8 ZA SOKA KUCHUANA NDONDO CUP 2015 ARUSHA

Kikosi cha FFU Oljoro ambacho kitashuka kuchuana na Tanzanite SC . Mkoani Arusha mwishoni mwa juma hili kunataraji kufanyika michuano ya NDONDO CUP itakayoshirikisha jumla ya timu nane kutoka mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA WAMPONGEZA MAYUNGA KWA KUWAKILISHA VYEMA TANZANIA

 Mkurugenzi Ukuzaji Sanaa na Masoko Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Vivian Msao Shalua (kulia)akipokea tuzo aliyoipata Nalimi Mayunga mara baada ya kuibuka  mshindi wa shindano la Airtel Trace Music...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LANTANA HOTEL KIOTA KIPYA CHA MARAHA NA USINGIZI MWANANA JIJINI DAR ES SALAAM

 KARIBU / WELCOME To Lantana Hotel , “the best place to be”  a newly open hotel with world class standard located at Sinza Area in Kinondoni Municipality, 100m off Shekilango Road near SinzakwaRemmy...

View Article

New music: Metty ft sheki & Ayler ~ Monica Monica

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC

Ifuatayo ni hotuba ya Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ali Hassan Mwinyi alipohutubia mkutano wa nne wa Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) uliofanyika tarehe 23 Aprili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILAMU YA PISHU KUINGIA SOKONI RASMI MEI MOSI MWAKA HUU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa ahutubia sherehe za muungano Dubai

Waziri mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akitoa salamu zake kwenye sherehe za miaka 51 ya muungano ambazo ziliandaliwa na jumuiya ya watanzania wanaoishi katika falme za kiarabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI LIBERATA MULAMULA AONGOZA MKUTANO WA MABALOZI WA HESHIMA WASHINGTON, DC

Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani akifungua mkutano wa Mabalozi wa Heshima uliofanyika siku ya Ijumaa April 24, 2015 Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Mkutano huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM WAPATIKANA

Mojawapo ya ndiga zilizoshindaniwa likioneshwaMkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadik akiongea na Dennis Ssebo wa 97.3 EFM kwenye hafla hiyo jana katika uwanja wa Tanganyika Packers, Kawe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO LEO

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri zashauriwa kupunguza utegemezi wa rasilimali za kukabili maafa

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego akisisitiza juu ya utekelezaji wa Mpango wa Kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Mtwara wakati wa uzinduzi wa mpango Mkoani Mtwara, kushoto kwake ni Mkurugenzi...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>