Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO

Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Crdb Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini  wa wanahisa wa Benki ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NOOIJ AITA 10 KUTOKA AZAM KUUNDA KIKOSI CHA STAR KWENDA COSAFA

KIKOSI cha timu ya Azam FC  ya jijini Dar es Salaam (pichani juu) kimeonekana kuwa nduio kikosi bora zaidi kwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij naada ya kuita wachezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUSARA ZAHITAJIKA KWA MADEREVA WAWAPO BARABARANI

MGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani na daladala zifanyazo safari za ndani katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania ulimalizika juzi baada ya kudumu kwa saa 31.Mgomo huu ulimalizika kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EFM REDIO KUMPIGA TAFU JUMA NATURE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA YAKE 16 YA MUZIKI

Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Sebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert  litalofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Proin Promotions in Belgium - Launching of Tanzania Films Online

 Mwenyekiti wa Proin Group Tanzania ndugu Johnson Lukaza akizungumza machache na kuwashukuru watu wote waliohudhuria uzinduzi wa manunuzi ya filamu za kitanzania kupitia mtandao (online) hapo jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA...

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania, (TBL), Robert Jarrin akipokea zawadi ya fimbo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa kijiji wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya Kituo cha Afya cha Kijiji cha Kambi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WA HUDUMA NA BIDHAA WAPANDA KWA ASILIMIA 4.5

  Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Iphrahim Gwesigabo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kupanda kwa mfumuko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MVUA TEMEKE ZINAZOENDELEA KUNYESHA JIJINI DAR...

 Mtemvu akiitembelea Nyumba ya Bi Mwashamba Mwandoro maeneo ya Kurasini,  baada ya ukuta wa Nyumba kuanguka kutokana na Mvua zinazo endelea kunyesha Dar es Salaam na hapo akiongea akiwa katika nyumba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA DAR EX PRESS LAWAKA MOTO MCHANA WA LEO

Moshi ukifuka kufuatia ajali ya basi mali ya Kampuni ya Dar ex Press lenye namba za usajili T833 DDR likiwaka moto na kuteketea kabisa hii leo majira ya saa 7:30 mchana katika kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAU BWIRE HUYOOOOO DARAJA LA KWANZA MSIMU UJAO

Huyu ni Mwalimu Massau Bwire msemaji wa timu ya Ruvu Shooting ya Mlandizi mkoani Pwani ambaye anaweza kushika rekodi ya msemaji wa klabu zilizoshiriki Ligi kuu msimu huu aliye na maneno mengi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA KUUNGANISHA WAKULIMA NA FURSA ZA MITAJI YAFANYIKA WILAYANI BABATI

Kulia Mkurugenzi wa TAHA Bi. Jacqueline Mkindi akiwa na Mgeni rasmi ndugu Athumani Karunde wakati wa kutembelea mabanda ya waoneshajiMgeni rasmi akipata taarifa za namna TAHA inavyofanya kazi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE

Picha ya Marehemu John Nyerere aliyefariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa. Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“NIPO STUDIO” YA JENNIFER MGENDI KUACHIWA

Mtayarishaji wa filamu na mwimbaji wa siku nyingi Jennifer Mgendi anakusudia kuachia filamu yake ya “Nipo Studio” mapema wiki hii. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo imekamilika kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Imetosha yatoa msaada kwa kituo cha Buhangija Shinyanga.

Toka kushoto ni Kathrin Hoff, kijana Paulo, Masoud Kipanya na Balozi Henry Mdimu.Taasisis ya Imetosha ya jijini Dar es Salaam leo hii imepeleka misaada mbali mbali katika kijiji cha watoto wasioona cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM ARUSHA YATOA ONYO KWA WALIOTANGAZA NIA ARUSHA MJINI

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wilayani Arusha,Feruz Bano akimkabidhi kitabu cha kanuni za uchaguzi wa CCM mgombea aliyetangaza nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Arusha mjini,Kim Fute jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE ALI HASSAN MWINYI AZUNGUMZIA KISWAHILI

Kiswahili inaaminika kuwa lugha asili ya Afrika inayozungumzwa na watu wengi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara. Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA

Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzinduzi wa Huduma Mpya ya MaxMalipo kwa kutumia Simu ya Kiganjani.

Mkuu wa kitengo cha Biashara Maxcom Africa Bw. Deogratius Lazari (Katikati) Akifafanua Jambo kwa waandishi wa habari ambao hawapo katika picha wakati wa Uzinduzi wa Mfumo Mpya wa kutoa huduma za...

View Article

ZIARA YA RAIS JAKAYA KIWETE ALGERIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA USAILI WA TMT

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>