MKALI WA BLUZI BB KING AFARIKI DUNIA
BB King akiangalia maashabiki wake baada ya kutumbuiza katika moja ya maonesho yake.Rais wa Marekani Barack Obama akimba moja ya nyimbo za BB King katika moja ya tajasha lake alilohudhuria huko...
View ArticleTARS YAJIFUA KUIKABILI SWAZILAND KOMBE LA COSAFA
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeendelea na mazoezi katika uwanja wa Olympia Park kujiandaa na mchezo wa fungua dimba la michuano ya COSAFA dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland.Kocha mkuu wa...
View ArticleFAINALI YA KOMBE LA NG'OMBE ARUSHA NI ZAMZAM V/S NYOTA
Mfadhili wa michuano ya kombe la Ng'ombe ambaye pia mkurugenzi wa kampuni ya East Link Tanzania Ltd,Kim Fute wapili kutoka kushoto akibadilishana mawazo na baadhi ya vijana waliofika kushuhudia...
View ArticleMAPINDUZI YASHINDIKANA RAIS PIERRE NKURUNZINZA AREJEA IKULU
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza.Rais Pierre Nkurunziza amewasili katika makao ya Rais mjini Bujumbura kupitia msafara mkubwa wa magari .Alikaribishwa na umati mkubwa wa wanachama wa chama chake...
View ArticleSHETTA,DULLY SYKES KUNOGESHA TAMASHA LA USIKU WA MARAFIKI WA LOWASA JIJINI...
Wasanii wawili wa kizazi kipya nchini Nurdin Billal maarufu kama Shetta na Abdulwaheed Sykes” Dully Sykes” kesho jumamosi wanataraji kunogesha katika onyesho la kundi la marafiki wa waziri mkuu...
View ArticleRAIS NYUSU WA MSUMBUJI KULIHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi (pichani) anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la...
View ArticleRAIS KIKWETE AKAGUA UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA DODOMA (DICC) TAYARI KWA...
Muonekano wa ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Dodoma (DICC) mali ya Chama cha Mapinduzi. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma (DICC) unaojengwa na...
View ArticleLOWASSA ATIKISA ARUSHA,ACHANGISHA ZAIDI YA SH,MIL 200
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa...
View ArticleMAWASILIANO YA BARABARA YA TABATA BIMA NA KIMANGA HATARINI KUKATIKA
Hii ni sehemu ya barabara ya Tabata Kimanga ambayo imeharibiwa vibaya katika eneo la Tabata Chama jirani na Shule ya Msingi Darajani. Endapo mamlaka husika hazitafanya ukarabati wa haraka wa eneo hilo...
View ArticleWASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.Meneja...
View ArticleEVANDER HOLYFIELD AMTWANGA MITT ROMNEY WA REPUBLICAN
Mgombea usra wa chama cha Republican huko Marekani, Mitt Romney na Bingwa mara tano wa uzito wa juu wa Ngumi duniani, Evander Holyfield wamezipiga katika pambano la hisani lililofanyika katika Salt...
View ArticleMAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI NCHINI TANZANIA
Rais Nyusi anamshukuru Elizabeth kwa maua Rais Nyusi akitambulishwa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Saidi Mwambungu Rais Nyusi akitambulishwa kwa wasaidizi wa Rais Rais Kikwete na Mgeni wake...
View ArticleUHAKIKI WA KAZI ZA VIJANA WALIYOPEWA MASHINE NA NHC WAFANYIKA MIKOANI
Kikundi cha vijana 40 kiitwacho Wajenzi Isoso Wilayani Kishapu kikiendelea na ufyatuaji matofali ya kufungamana wakati kilipotembelewa na Meneja wa NHC wa Huduma kwa Jamii, Bw. Muungano Saguya kwa nia...
View ArticleENEO HILI LA BARABARA LINAHITAJI JICHO LA MAMLAKA HUSIKA
Hofu ya kukatika mawasiliano kati ya Tabata Bima na Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam kwa njia ya barabara ni makubwa endapo ukarabati wa haraka hautafanyika katika eneo la Tabata Chama jirani na...
View ArticleWAZIRI BERNALD MEMBE KWA MGENI RASMI TAMASHA LA QASWIDA MEI 25
Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano...
View ArticleFLAVIANA MATATA AONGOZA MAMIA YA WANAMITINDO WA BONGO KUJIUNGA NA MFUKO WA...
Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Flaviana Matata, akifurahia jambo, wakati akizungumza kwenye semina ya siku moja iliyoan daliwa na Mfuko huo kwa kushirikiana naye, maalum kwa wanamitindo na...
View ArticleUNIVERSAL BODY FITNESS YAFUNGULIWA RASMI JENGO LA SHAMO TOWERS,MBEZI BEACH
Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA NCHINI CHINA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Maonesho ya Biashara ya China, 'Expo Central China 2015', ulioanza leo Mei 19, 2015...
View Article