Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATIA NIA CCM WAJINADI MBELE YA LOWASSA

Aliyewahi kuwania jimbo la Arumeru Mashariki kupitia CCM  Sioi Sumari akijinadi mbele ya Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha Edward Lowassa katika harambee ya kuchangia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PARTY YA USIKU WA MARAFIKI WA LOWASSA YAFANA ARUSHA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Nurdin Billal maarufu kama Shetta  akicheza sambamba na Mkurugenzi wa kituo cha Radio 5 Robart Francis staili ya shikorobo juzi kwenye party ya usiku wa marafiki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIANI SAMUEL CHAMLOMO WA TBC DODOMA

Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DCB YA WAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE

Wafanyakazi wa Benki ya DCB tawi la Ukonga, jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi pamoja na viongozi wengine wa Beki hiyo baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SELCOM YAWEZESHA MALIPO YA PANGO YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) KWA NJIA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania, Sameer Hirji akimuonyesha mashine ya POS ya Selcom Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu. Mashine hizo zitatumika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA NA PINDA USO KWA USO BUNGENI MJINI DODOMA LEO

"Kakaaaa ni wewe au Mimi mwaka huu..." Ni kama Pinda na Lowassa nateta juu ya Uchaguzi Mkuu  2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo na Waziri Mkuu, Mstaafu, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS NYUSI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi...

View Article

WAFANYAKAZI WA DCB BANK WALIVYO IFURAHIA SIKU YA TUZO ZA MWENYEKITI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO

Waziri  wa Maliasili  na  Utalii  Lazaro  Nyalandu  akiwa  amebeba  ndoo  ya maji  kichwani  alipokuwa  akikabidhiwa  visima  33 vilivyochimbwa kwa msaada  wa Watu  wa Falme  za Kiarabu  na Balozi  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA MPYA YA TAKWIMU KUONGEZA UFANISI WA SHUGHULI ZA KITAFITI NA...

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu ujio wa sheria mpya ya Takwimu  ya mwaka 2015 iliyopitishwa na Bunge Mwezi Machi mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

 Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akitoa maelezo ya taarifa zake muhimu wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa Afisa Mwandikishaji Msaidizi Shaibu Chitala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIO PIERRE NKURUNZINZA

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogora wa kisiasa nchini mwake.Rais Nkurunziza,alikuwa akisakata kabumbu ndani ya mji mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WALEMAVU WAFUNGA BARABARA KWA SAA SITA KUPINGA KUBOMOLEWA...

 Wafanyabiashara walemavu wakiwa wamekaa katikati ya makutano ya barabara za Uhuru na Kawawa na kufunga barabara hiyo wakipinga kubomolewa vibanda vyao na Halmshauri ya Manispaa ya Ilala Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASIASA MKONGWE AZUNGUMZIA MAKUNDI YA URAIS NDANI YA CCM

Pichani ni mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombare. Mwanasiasa  mkongwe nchini,Kingunge Ngombare Mwiru ametamka ya kwamba Chama Cha Mapinduzi(CCM) kamwe hakiwezi kuepuka makundi ya  urais kupitia chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CWT KUFANYA UCHAGUZI MKUU MAY 28

Naibu Katibu Mkuu wa chama cha walimu Tanzania (CWT)  Ezekiah Oluoch akizungumza juu ya Uchaguzi Mkuu wa chama hicho kitaifa utakaofanyika Mei 28 katika mkutano Mkuu wa chama hicho utakaofanyika Mei 25...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAND UNITED YAWASHUKURU WADAU WAKE

Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WA KAMATI KUU WAKIJIANDAA NA KIKAO MJINI DODOMA MUDA HUU

 Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mhe. Zakhia Meghji akizungumza na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAONESHA NIA YA URAIS CCM SASA WAPO HURU NI LOWASSA, MEMBE, MAKAMBA, SUMAYE,...

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein(kushoto), Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Philip Mangula(kulia) na katibu...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live